Akiongea na Wazanzibari walio wengi katika viwanja vya Pemba jana May day Lipumba alisema"
"Sisi tumewaita CCM intarahamwe kutokana na lugha zao za kibaguzi dhidi ya makundi mbali mbali ambyo ndio iliyokuwa inatumiwa na jamaa hawa wa Intarahamwe ambayo baadae ikasababisha mauwaji makubwa.
"Ndugu zanguni maana ya Intarahamwe ni wanyaruwanda au warundi ambao wakifanya kazi pamoja ndio tafsiri yake. Sasa pana pana kundi la CCM limeamua kufanya kazi pamoja ili kuzuwia mawazo na maoni ya wananchi na kuanza kuleta lugha za kibaguzi kwa wananchi na katika jamii za kitanzania"
Akaendelea kusema "CCM walipokuwa wanachangia bungeni walikuwa wanatoa lugha za matusi na kibaguzi na wengine walikuwa wanafurahi kupiga makofi na kugonga meza bungeni kushadidia ubaguzi huo na matusi hayo. Ambapo alisema lazima atokee mtu awaeleze lugha za matusi na kibaguzi hazikubaliki.
"Hatutaki yaje yatokee mauaji na vurugu zilizosababishwa na Intarahamwe wa Rwanda. Hatuhitaji na Intarahamwe ya CCM kuja kusababisha vurugu na mauwaji hapa Tanzania."
Kwenu wadau,;
"Sisi tumewaita CCM intarahamwe kutokana na lugha zao za kibaguzi dhidi ya makundi mbali mbali ambyo ndio iliyokuwa inatumiwa na jamaa hawa wa Intarahamwe ambayo baadae ikasababisha mauwaji makubwa.
"Ndugu zanguni maana ya Intarahamwe ni wanyaruwanda au warundi ambao wakifanya kazi pamoja ndio tafsiri yake. Sasa pana pana kundi la CCM limeamua kufanya kazi pamoja ili kuzuwia mawazo na maoni ya wananchi na kuanza kuleta lugha za kibaguzi kwa wananchi na katika jamii za kitanzania"
Akaendelea kusema "CCM walipokuwa wanachangia bungeni walikuwa wanatoa lugha za matusi na kibaguzi na wengine walikuwa wanafurahi kupiga makofi na kugonga meza bungeni kushadidia ubaguzi huo na matusi hayo. Ambapo alisema lazima atokee mtu awaeleze lugha za matusi na kibaguzi hazikubaliki.
"Hatutaki yaje yatokee mauaji na vurugu zilizosababishwa na Intarahamwe wa Rwanda. Hatuhitaji na Intarahamwe ya CCM kuja kusababisha vurugu na mauwaji hapa Tanzania."
Kwenu wadau,;