Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,990
- 7,364
Salaam,Kwa kweli mmenifungua sana macho yangu katika huu ulimwengu wa mapenzi. So huwa ni hadithi za kijiweni tu kuwa ... usimwonyeshe mwanamke kuwa umempenda sana ....atakutawala eh?
Mapenzi sio kama project flani ambayo unaweza kuweka indicators of success, huwezi kusema wivu ni indicator ya love, NAKATAA...inaweza kuwa indicator ya infiriority complex, huwezi kusema kuangalia simu ya mwenza wako ni indicator ya insecurity.....inaweza ikawa ndo style yake ya kulinda mali yake........na ana-define kama LOVE...strange eeh!!!
Kuonyesha kuwa unampenda mtu...maana yake ni nini? mtu kujisikia au kuona anapendwa sana maana yake ni nini??
Mimi binafsi nafikiri....na labda naamini, BUSARA ni muhimu katika kila jambo. definitions za mapenzi zinakuwa influenced na mambo mengi sana e.g. tamthilia, hadithi za kusadikika, stories kutoka kwa marafiki, nakathalika)
Need I say more??!!