Linza Concrete Designs-that collapse!!!!!

Linza Concrete Designs-that collapse!!!!!

View attachment 70848
Ukiona kwenye bango hao Linza Concrete Desugns ujue kuna vitu vya ku-collapse, kama hili jengo mitaa ya Mbezi Beach.
nadhani watu wana matatizo binafsi na linza then wanaleta hapa tuwasaidie kukuza mgogoro wao kwa kuwasupport,ujenzi una taratibu zake na kuna architect,str.eng,contractor na kila mmoja anamajukum yake ili kufanikisha ujenzi.bt people seem to be biased!

Tuache uvivu wa kufikiri.
Na ninavyowafahamu ma-engineer, kila step ya kazi inakaguliwa na kupitishwa.
Sasa jengo limecollapse hicho kinachoonekana kuwa kipaa na nguzo.
Sasa bias iko wapi.
Nyie ndo ma-engineer mnaoingia siasa badala ya kufanya kazi ya uhakika.
 
This photo taken on Thursday shows rescue workers in the Ghana capital Accra searching for survivors in the rubble of a four-storey shopping mall that collapsed on Wednesday, killing at least 18 people. (AFP/Getty Images)
What do you think?

Wakuu tusisubiri kutokea kama haya ya huko Ghana ambako watu 18 walifariki majuzi
Tahadhari uhai mbele badala ya pesa ya fasta fasta.
 
Tuache uvivu wa kufikiri.
Na ninavyowafahamu ma-engineer, kila step ya kazi inakaguliwa na kupitishwa.
Sasa jengo limecollapse hicho kinachoonekana kuwa kipaa na nguzo.
Sasa bias iko wapi.
Nyie ndo ma-engineer mnaoingia siasa badala ya kufanya kazi ya uhakika.

nadhani kama unauelewa ujenzi na unafaham taratibu zake kuna kitu kinaitwa building team,unajua?!unafaham majukum ya kila mmoja?wewe unaongea na kucoment kwa hisia,umeona picha unakimbilia kumtaja linza,contractor unamjua?unajua kazi ya str.eng ktk projects ya ujenz?fika site ujue nin kipo na si kukimbilia kunanga watu,siasa inaingia kila pahala na kwakuwa bado hujui nini siasa maana yake thats why unataka watu wasijue sia za nchi yao na dunia,kwako siasa ni murder bt to me politics ni development na construction industry inahusika,so endelea na uvivu wako wa kufikiri na kuona unaweza kuchafua watu kwa umbumbumbu wako.soma ujue mambo mengi tofautitofauti ili utoke kufikiri inbox,jifunze kuwa mstaarabu uheshimiwe kama uwezo wako hauruhusu hakuna sababu ya kuleta assumptions kwny jukwaa,mimi nimefika mpaka site na kuona hali halisi na mambo yanayofanyika ni ya kifundi tu ambapo contractor kapewa maelekezo na huyo unayembeza ya kurekebisha jambo ambalo ni kawaida,acha majungu mkuu na usikariri mambo ujenzi una mambo mengi na lazima tuheshimiane kikazi,we unachanganya mambo na kwakuwa understanding yako inafikiri kwa mipaka basi unaleta majungu jukwaani.be smart!
 
nadhani kama unauelewa ujenzi na unafaham taratibu zake kuna kitu kinaitwa building team,unajua?!unafaham majukum ya kila mmoja?wewe unaongea na kucoment kwa hisia,umeona picha unakimbilia kumtaja linza,contractor unamjua?unajua kazi ya str.eng ktk projects ya ujenz?fika site ujue nin kipo na si kukimbilia kunanga watu,siasa inaingia kila pahala na kwakuwa bado hujui nini siasa maana yake thats why unataka watu wasijue sia za nchi yao na dunia,kwako siasa ni murder bt to me politics ni development na construction industry inahusika,so endelea na uvivu wako wa kufikiri na kuona unaweza kuchafua watu kwa umbumbumbu wako.soma ujue mambo mengi tofautitofauti ili utoke kufikiri inbox,jifunze kuwa mstaarabu uheshimiwe kama uwezo wako hauruhusu hakuna sababu ya kuleta assumptions kwny jukwaa,mimi nimefika mpaka site na kuona hali halisi na mambo yanayofanyika ni ya kifundi tu ambapo contractor kapewa maelekezo na huyo unayembeza ya kurekebisha jambo ambalo ni kawaida,acha majungu mkuu na usikariri mambo ujenzi una mambo mengi na lazima tuheshimiane kikazi,we unachanganya mambo na kwakuwa understanding yako inafikiri kwa mipaka basi unaleta majungu jukwaani.be smart!
Mkuu risala waachie wanasiasa, ma engineer tuaowafahamu wana maneno machache na vitendo vya uhakika.

Mimi vile vile napita kipande hiyo,hakikisha jengo unalosanifu/unalojenga/ unalosimamia halianguki.

Na hapo hakuna jungu maana kila apitaye hapo anajionea mwenyewe.
Jungu maana yake ni concocted stories ambazo hazina ukweli na ni vigumu kuthibitisha, lakini hapo jionee mwenyewe-kiaa si kimeanguka?

Kwa vibao vya wasimamizi walioorodheshwa hapo ni ishara ya wao kushindwa kazi, nikiwa na vijisenti vyangu hao siwatafuti asilaani!
 
Back
Top Bottom