Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
Hawa Linza wasanii, vibao vingi utafikiri project zao lakini ni Contractors makanjanja wanatumia hilo jina kutafutia vibali vya ujenzi manispaa, sijui mwenye kampuni huwa anapata kiasi gani!
Sioni vizuri lakini kufail kwa jengo kuna mambo mengi sana coz kuna design,construction method,quality of materials,supervision of construction,so whats wrong exactly with Linza,
Bwana mkubwa collapse MOJA TU, kwa wenzetu inaweza kukuondoa kwenye fani ya ujenzi.Mkuu utakuwa na conflict of interest.
Kuna mambo mengi sana yanayoweza kuleta athari kama hiyo.
Ku-prove unalosema ungeleta majengo walau kama matatu YALIYOPOROMOKA yaliyofanywa na kampuni hii. Najua wana project mamia huko Dsm.
Hizo ndio hisia za watu wengi, lakini mbaya zaidi je, hao Linza wana mainjinia wa kutosha kusimamia na kukagua miradi yote yenye vibo vyao mjini.Hawa jamaa wa Linza naona wanafanya biashara na kuuza jina tuu ila credibilty inashuka
maana kilo tano tuu wanakupa jina
upo sahihi mkuu,na walishafungiwa ila cha kushangaza wamerudi tena!Nakumbuka Linza walishadondosha jengo Kariakoo kama sikosei miaka ile ya lowassa akiwa waziri mkuu na kuna watu walipelekwa mahakamani kwa kuua bila kukusudia! Sijui kumbukumbu zangu ziko sahihi?? Ama hawa ni Linza Concrete Design Wengine
View attachment 70848
Ukiona kwenye bango hao Linza Concrete Desugns ujue kuna vitu vya ku-collapse, kama hili jengo mitaa ya Mbezi Beach.
it look something like photoshop here
Bwana mkubwa kama Linza haijawahi kudondosha jengo basi hilo kwenye picha ni la kwanza, umetengeneza historia.Linza hawajawahi kudondosha jengo hapa TZ, hata wakati ule bodi ya wahandisi(ERB)ilipowasimamisha ilikuwa ni majungu tu eti kwanini ana kazi nyingi na anaziendeshaje na ile issue ikaisha na mpaka leo anaendelea na kazi,nadhani mtuma habari hii ana chuki binafsi na inabidi afanye utafiti kabla ya kupost.na ujenzi ni timu ya watu wengi sana take care ,
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums