Link inayoonyesha matokeo ya Kidato cha Pili

Link inayoonyesha matokeo ya Kidato cha Pili

katalina

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
262
Reaction score
56
Kwa anaeyeifahamu link/adress/website etc, inayoonyesha matokeo ya kidato cha pili, tafadhali tunaomba atusaidie.
 
Hayawekagwi kwenye mtandao! Yapo ofisi za maofisa elimu mikoa, wilaya na waratibu elimu kata.

Wameshindwa kuweka ya darasa la saba watayaweza ya form two.:confused..:confused!
 
Wanahangaika na Digital ambako wanawaiba wanyonge/walala - hoi! wamesoma wao basi inatosha hawana habari na elimu
 
Bado wapo analogy.
Dar es salam imehamishiwa digital, inamaana Wizara ya elimu imerukwa?
Karne hii inafaa Matokeo yawepo on line ili kuwe na easy access kwa wenye kuhitaji kuziona.
Sasa sielewi wizara yenyewe ya elimu mambo yao hayaashirii kama ni wizara ya Wasomi.Jamani?
 
Kama ya form 4 wanaweka kwanini washindwe haya? Au dhalau?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
necta haina data base ya darasa la 7 na form 2 kuna ya form 4 na 6 tu kwaiyo inabidi wadau waelimu muombe waiandae maana dunia imehama sasa toka analog to digital
 
Bado sana tz hii. Kama waziri hana muda kujua tz ni muungano wa nini na nini ataangaika kufikiria kuweka matokeo yaf2 online. We damn have a very long way to go.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa anaeyeifahamu link/adress/website etc, inayoonyesha matokeo ya kidato cha pili, tafadhali tunaomba atusaidie.

Nenda shule ulikofanyia mtihani utapata matokeo
 
Matokeo ya kidato cha pili hayaandaliwi na Necta bali huandaliwa kwa kanda
 
Kama ya form 4 wanaweka kwanini washindwe haya? Au dhalau?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

afu ndugu yangu hiyo signature yako huwa inanishangaza kasimu kenyewe BB 8520 afu unaipaizaaa
Khaaaa.. Wenye vitu vyao wamekaa pembeni2
 
Bado wapo analogy.
Dar es salam imehamishiwa digital, inamaana Wizara ya elimu imerukwa?
Karne hii inafaa Matokeo yawepo on line ili kuwe na easy access kwa wenye kuhitaji kuziona.
Sasa sielewi wizara yenyewe ya elimu mambo yao hayaashirii kama ni wizara ya Wasomi.Jamani?
Mulugo huyo kaka.............
 
jamani necta fanyeni bidii kuweka matokeo ya form two na la saba kwenye internate dunia sasa ni kama kijiji
 
Back
Top Bottom