Nalo wameshaliweka kwenye utaratibu huo, huko katavi watu wanalia vibaya mno!! Msimu huu ni kilio tupu,kukushauri nini ufanye kwangu ni ngumu, ila hiyo ndio hali halisi kwa sasa hivi, ndio maana hata huko lindi ni kilio tupu tani 1700,zimekosa wanunuzi!...