Lini matokeo ya Form VI 2021 yatatoka?

Lini matokeo ya Form VI 2021 yatatoka?

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,207
Reaction score
6,786
Wadau, kwakweli sijaona mwaka ambao majibu ya form VI yamechelewa sana kama mwaka huu kwa hii miaka ya karibuni.. Ni miezi miwili sasa na Siku kadhaa toka madogo wamalize mitihani yao ila hadi leo Hamna cha maana, mbona matokeo ya form IV wiki 4 tu yanakuwa tayari yametoka hali ya kuwa shule ziko nyingi mno ukicompare na hizi za high level.

Ohy mliopo kwenye vitengohuko NECTA tujulisheni lini mtatoa matokeo.
 
Wadau, kwakweli sijaona mwaka ambao majibu ya form VI yamechelewa sana kama mwaka huu kwa hii miaka ya karibuni.. Ni miezi miwili sasa na Siku kadhaa toka madogo wamalize mitihani yao ila hadi leo Hamna cha maana, mbona matokeo ya form IV wiki 4 tu yanakuwa tayari yametoka hali ya kuwa shule ziko nyingi mno ukicompare na hizi za high level.

Ohy mliopo kwenye vitengohuko NECTA tujulisheni lini mtatoa matokeo.
kaka asante sana mkuu..
yaani kwa kweli mwaka huu amechelewa .. tunawaomba wafanye haraka iwezekanavyo ili tuweze kujua nini cha kufanya after all..
hatuwezi kuaply mkopo kabla ya kuyaona matokeo yetu, naona dirisha la mkopo lipo open .. lakini kumbukeni kuna kufeli pia.. ko ni Bora matokeo yatolewe ili tujue cha kufanya...
 
Back
Top Bottom