Lini Kikwete kapata PhD?

tanga kwetu

JF-Expert Member
May 12, 2010
2,193
1,434
kuna siku nilikuta Magufuli anaitwa Dr., sikubisha wala sikukubali bali nilishangaa maana 'no data no speaking' lakini nikafuatilia na kugundua jamaa kasota miaka minne pale UDSM na kupata PhD yake katika mambo ya chemical engineering. Siku za hivi karibuni vyombo vya habari (nime-notice hasa hasa ITV), zinamtambulisha Kikwete kama Dk. Kikwete (Pia Karume). Nimejaribu kufuatilia wapi kapata hicho cheti cha PhD au MD au BVM/DVM (Bachelor of Veterinary Medicine/Doctor of Veterinary Medicine) inaonekana ni Dr. ya vinginevyo. Naomba mwenye taarifa juu ya hili anijuze. Recently, wimbi la watu kujiita madokta limekuwa kubwa sana huko Tanzania. Inauma kama mtu hajasota kama ma-real Drs wanvyousotea kuupata u-Dr. halafu mtu anajipachika tu. Tena watu kama hao usipomwita Dr. anakasirika. Wenzetu huku Ulaya hawapendi kuitwa ovyo ovyo Dr....you just call him/her jina lake la kupewa utotoni...Condoleze Rice etc.
 
icon1.gif
LINI SLAA KAPATA PhD?
 
kuna siku nilikuta Magufuli anaitwa Dr., sikubisha wala sikukubali bali nilishangaa maana 'no data no speaking' lakini nikafuatilia na kugundua jamaa kasota miaka minne pale UDSM na kupata PhD yake katika mambo ya chemical engineering. Siku za hivi karibuni vyombo vya habari (nime-notice hasa hasa ITV), zinamtambulisha Kikwete kama Dk. Kikwete (Pia Karume). Nimejaribu kufuatilia wapi kapata hicho cheti cha PhD au MD au BVM/DVM (Bachelor of Veterinary Medicine/Doctor of Veterinary Medicine) inaonekana ni Dr. ya vinginevyo. Naomba mwenye taarifa juu ya hili anijuze. Recently, wimbi la watu kujiita madokta limekuwa kubwa sana huko Tanzania. Inauma kama mtu hajasota kama ma-real Drs wanvyousotea kuupata u-Dr. halafu mtu anajipachika tu. Tena watu kama hao usipomwita Dr. anakasirika. Wenzetu huku Ulaya hawapendi kuitwa ovyo ovyo Dr....you just call him/her jina lake la kupewa utotoni...Condoleze Rice etc.


Ungeanza kuuliza ana Masters ya nini na PhD yake alisomea nini? As far as i know hana PhD, U-Dr wanaomwita ni ule wa kupewa kama ukitembela chuo fulani unaweza kuvalshwa kikofia na kigauni lakini haina maana kuwa amesomea.

Mkuu lakini unatakiwa kupitia vizuri thread za JF kuna mahali watu wameeleza vizuri. Kuna mawaziri vihiyo walitaja kwenye thread moja, watu wanajiita Dr lakini ukweli hata Masters zao ni za utata.
 
kuna siku nilikuta Magufuli anaitwa Dr., sikubisha wala sikukubali bali nilishangaa maana 'no data no speaking' lakini nikafuatilia na kugundua jamaa kasota miaka minne pale UDSM na kupata PhD yake katika mambo ya chemical engineering. Siku za hivi karibuni vyombo vya habari (nime-notice hasa hasa ITV), zinamtambulisha Kikwete kama Dk. Kikwete (Pia Karume). Nimejaribu kufuatilia wapi kapata hicho cheti cha PhD au MD au BVM/DVM (Bachelor of Veterinary Medicine/Doctor of Veterinary Medicine) inaonekana ni Dr. ya vinginevyo. Naomba mwenye taarifa juu ya hili anijuze. Recently, wimbi la watu kujiita madokta limekuwa kubwa sana huko Tanzania. Inauma kama mtu hajasota kama ma-real Drs wanvyousotea kuupata u-Dr. halafu mtu anajipachika tu. Tena watu kama hao usipomwita Dr. anakasirika. Wenzetu huku Ulaya hawapendi kuitwa ovyo ovyo Dr....you just call him/her jina lake la kupewa utotoni...Condoleze Rice etc.

Siyo Dokta. Anaitwa Dakta.

Udakta wa Manzese. Mwisho Airport.

Akiingia kwenye pipa tu anajitambulisha kama Mr. JK
 
....the answer is; dk. ya manzese hadi airport!!!!!!!!!!!!!!!!! shame on him!!!!
 
Back
Top Bottom