Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Halafu kuna mtu anakuja na insha ndeefuuu sijui sheirai haikufwatwa, mara sijui Bunge limehongwa, tupa kule cha muhimu matokeo tu, mambo yenu ya Katiba msituletee hapa sisi tunataka Amri TU!!Kabla ya Magufuli!
Baada ya Magufuli (ndani ya wiki Moja madarakani!)