Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,167
- 85,188
Nyota....Haya mambo yanaendana na nyota
Nyota....Haya mambo yanaendana na nyota
hv kumbe ni mtoto wa kishuaMtoto wa kishua yule hana njaa ya kumfanya aongeze juhudi plus ana toto ya kitasha ndo basi ashakunja nne. Afu mabange mengi pia upande mwngine.
yeah mkuu. mambo safi mzee wake.hv kumbe ni mtoto wa kishua
Kwani nani mwingine ana nyota ya kuwa na zari zaidi ya mond na le mutuzzana nyota moja na belle 9,ya kutokuwa na zali
basi hamjali kabla ya huyo linex ajatoka alikuwa anashinda iringa akinyw pombe za machicha yani alikuw maisha magumu ukimwona anatia hurumayeah mkuu. mambo safi mzee wake.
Baba atamjali vp na yeye mabhange, kichwa ngumu, msela, muhuni. Bora sasa hv alivyo na huu mziki. Ila bado ana kasoro zake za kitabia.basi hamjali kabla ya huyo linex ajatoka alikuwa anashinda iringa akinyw pombe za machicha yani alikuw maisha magumu ukimwona anatia huruma
bangi, ila yuko vizuriUyu jamaa anaweza sana sijui anakwama wapi?
yes ww umesema,ana nyota moja na belle 9,ya kutokuwa na zali