Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,924
- 30,272
Mnachihangu,Mohamed saidi huku kusini wengi sana walishiriki kuupigania huo uhuru kwa namna tofauti tofauti kuanzia vita kama majimaji na babu zangu mimi walipigana hivyo hatari ambavyo walikuwa wanacheza na risasi na japo wengi wao walìshatangulia mbele za haki ila hautakuta sisi wajukuu zao tunaanza kudai majina yaandikwe kwenye vitabu tupo cool kabisa,sembuse hao wadai uhuru wako waliokuwa wanadai huku wanacheza bao na kuuza kahawa sokoni uhuru uliodaiwa kilaini sana
Sijakejeli popote pale labda wewe ndie unataka kujiaminisha hivyo ninaposema wapigania uhuru wako namaanisha ni babu zako ambao wewe ni ndugu zako,tukija hili swala la makamanda waliopigana vita vya majimaji kuwa wote ni waislamu hapo unapotosha wazi kabisa kwasababu kijijini kwetu likokona sisi tulisimuliwa kuwa mzee mandota na ndugu zake wawili walipigana hivyo vita na walinyongwa na huyo mjerumani na hao hawakuwa waislamu na hawajatajwa popote pale je hili nalo lilifichwa? Na unadai kuwa aliletwa padre ili awabatize ili iweje wakishabatizwa?Mnachihangu,
Niruhusu nikushauri njia bora ya kufanya mjadala.
Umetoa mawazo mazuri ambayo mimi yamenipa uwanja wa kuchangia.
Tatizo ni lugha uliyotumia imesimama katika kejeli., ''wadai uhuru wako.''
Mimi sina wadai uhuru wangu.
Wapigania uhuru walikuwa wazalendo wa Tanganyika.
Umeandika ''wacheza bao na wauza kahawa.''
Kucheza bao na kuuza kahawa ni mila ya watu wa Pwani.
Ukikejeli unaonyesha dharau.
Ikiwa wewe umekaa kimya kuhusu mashujaa wa Maji Maji huwaadhimishi hakuna wa kukulazimisha uwaheshimu lakini huna haki ya kuwakataza wengine kuwaenzi mashujaa wa Maji Maji mfano wa ''Abdulrauf'' Songea Mbano na ''Khadija'' Mkomanile.
Umepata kusoma katika historia ya Maji Maji majina hayo yakitajwa kikamilifu?
Ushajiuliza kwa nini?
Unajua kuwa katika makumbusho ya Maji Maji Mahenge Songea kuna kaburi la majemadari 67 waliozikwa kwenye kaburi la halaiki na wajemadari wote hao ni Waislam?
Ushajiuliza kwa nini iwe hivyo?
Je, Unajua majemadari hawa kabla ya kunyongwa waliletewa mchungaji kutoka Peramiho jina lake Johann kuja kuwabatiza?
Soma historia ya wazee wako wa kusini walionyanyua silaha kupigani uhuru wao uifahamu.
Hii itakuweka wewe katika hali ya kuweza kufanya mjadala wa maana na kujiweka mbali na kejeli.
Awa...Mzee Mohammed samahani kama nitakuwa nimetoka nje ya mada ila ninahitaji kitabu au vitabu vyenye historia ya pwani ya Afrika ya Mashariki kabla ya ukoloni iwe kwa mji mmoja mmoja au yote kwa ujumla.
Mwenyezi Mungu akuzidishie uzidi kutupa maarifa
Mnachihangu,Sijakejeli popote pale labda wewe ndie unataka kujiaminisha hivyo ninaposema wapigania uhuru wako namaanisha ni babu zako ambao wewe ni ndugu zako,tukija hili swala la makamanda waliopigana vita vya majimaji kuwa wote ni waislamu hapo unapotosha wazi kabisa kwasababu kijijini kwetu likokona sisi tulisimuliwa kuwa mzee mandota na ndugu zake wawili walipigana hivyo vita na walinyongwa na huyo mjerumani na hao hawakuwa waislamu na hawajatajwa popote pale je hili nalo lilifichwa? Na unadai kuwa aliletwa padre ili awabatize ili iweje wakishabatizwa?
Haya nayo ni maajabu ya Dunia. Kwakua nyinyi wajukuu waflani mmeamua kukaa kimya nababu zenu hawatajwi kwenye vitabu nawengine hawana haki ya kuandika? kukaa kwako kimya ,kusiwe sababu ya kuwafunga wengine midomo.Mohamed saidi huku kusini wengi sana walishiriki kuupigania huo uhuru kwa namna tofauti tofauti kuanzia vita kama majimaji na babu zangu mimi walipigana hivyo hatari ambavyo walikuwa wanacheza na risasi na japo wengi wao walìshatangulia mbele za haki ila hautakuta sisi wajukuu zao tunaanza kudai majina yaandikwe kwenye vitabu tupo cool kabisa,sembuse hao wadai uhuru wako waliokuwa wanadai huku wanacheza bao na kuuza kahawa sokoni uhuru uliodaiwa kilaini sana
Bado hoja yako haina mashiko kuufuta uislamu wao kwa watu ambao ni mateka?Mnachihangu,
Inaelekea huijui vizuri historia ya Maji Maji.
Unazungumzia Mzee Mandota na ndugu zake wawili jumla watatu walionyongwa na Wajeruamani.
Mimi nimekupa historia ya majemadari 67 na nimekuwekea na majina yao ambao walinyongwa na kuzikwa katika kaburi moja Mahenge, Songea.
Hilo jina mji ''Songea'' linatoka kwa Abdulrauf Songea Mbano.
Yeye kazikwa kaburi la peke yake pembeni kwa kaburi hilo la halaiki.
Sasa angalia uwiano wa watu watatu na majemadari 67 walionyongwa na Wajerumani.
Hawa kwa khiyana na kutaka kufuta historia Wamishionari walikwenda Songea kuwabatiza ili kufuta Uislam wao.
Watu 3 huwezi kulinganisha na watu 67.
Nakuongeza kitu kiingine angalia picha hizo hapo chini minara ya kumbukumbu ya wazalendo walikonyongwa na angalia wametoka sehemu zipi:
View attachment 2419493
Mnara wa Kumbukumbu ya Maji Maji Songea
View attachment 2419494
Majina katika mnara kwa Kumbukumbu ya Maji Maji Kilwa katika majina hayo Hassan Omar Makunganya peke yake ndiye ambae hakunyongwa kwa sababu ya vita.
View attachment 2419496
Abdulrauf Songea Mbano
Mnachihangu,Bado hoja yako haina mashiko kuufuta uislamu wao kwa watu ambao ni mateka?
Nimekuja lindi kikazi of course kumetulia flan napapenda now nina muda hapa naimani zamani ilikuwa ni bonge la paris kwerikweriOoh long time not heard blessings comrade Said, inshallah heri ikawe juu ya shehe wetu. Jiji la maraha la Lindi I miss Lindi ni patamu sana, Uwanja wa Fisi samaki kama wote
Hakika it was for east Africa, sehemu ya starehe imetengwa kabisa na wana kanuni zao, hata mademu hupatikananga hizo sehemu inakuwanga poa sanaNimekuja lindi kikazi of course kumetulia flan napapenda now nina muda hapa naimani zamani ilikuwa ni bonge la paris kwerikweri
Of course yes kuanzia santorin mpk makuti bay kwa brother ray sijui unamjua alifariki...njoo mpk chamikumbiHakika it was for east Africa, sehemu ya starehe imetengwa kabisa na wana kanuni zao, hata mademu hupatikananga hizo sehemu inakuwanga poa sana
I will be there soon bro, nikija nakula kwenye mgahawa wenu maarufu jirani na hizo bar karibu na shirton Lodge. Nina eneo juu kule mbele ya central police 1/2 ekaOf course yes kuanzia santorin mpk makuti bay kwa brother ray sijui unamjua alifariki...njoo mpk chamikumbi
Nani amekuambia sikuwa nayajua?na ni nani kakuambia nina shida ya kuyajua?Mnachihangu,
Hapana tatizo.
Muhimu kwangu ni kule kukueleza yale ambayo hukuwa unayajua.
Mnachihangu,Nani amekuambia sikuwa nayajua?na ni nani kakuambia nina shida ya kuyajua?
Anachotaka kutudanganya Mzee Said ni kusema uhuru wa Taifa letu ulipiganiwa na viongoziHata wazazi wangu walikuwepo kipindi cha harakati za uhuru lakini baada ya hapo wakaendelea na maisha mengine bila kujipendekeza.