Linaniumiza kichwa

Binti.com natamani nione ushauri wako maana siku hizi umekua kimya sana.

Back to topic
Mkuu kabiriga inakupasa ukutane na mpenzi wako na kuyazungumza yote hayo bila kumficha hata chembe, haina haja yakumfumbia macho wakati unaona kabisa anakokupeleka sipo kabisa.
 
Alijisahau akachanganya madawa hakujua anatengeneza sumu.
 
atamwambia nenda babu weee ukisusa wenzio wala kila la kheri
 

pole sana ila mwache huyo dada mara moja,uwe na uamuzi wa kiume.
 
atamwambia nenda babu weee ukisusa wenzio wala kila la kheri

Kwangu mimi hilo ni jambo jema kuliko kuwa na mtu halafu wengine wanamtafuna kwa raha zao...ya nini kushika pembe wakati chuchu wazinyonya wengine!!!
 
kwanini usimpigie simu huyo aliyekutumia sms kukuambia huna demu hapo?maana waswas wako umeanzia hapo ulipopata hiyo msg, inawezekana ni wrong number.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…