mkuu hali ni mbaya sana kwa chadema, hapo juu hapo wamejaa wazee wa sanaa tu, hakuna hata binadamu mmoja mwenye potential katika safu ya uongozi, nawasikitikia sana wanaokishabikia chama kama hiki kisicho na mwelekeo hata kidogo, chadema wanadhambi ya kuwahadaa watanzania, shame on you guys..hamna hata aibu??
Kama ni wazee wenye Busara hamna kufa hapa.... Mbona CCM yamejaa nijitu Vijana lakini imeshikiwa akili na wazee mafisadi wenye pesa wanawatuma tu kama manyapara... ??