Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,921
Mm nilitegemea nikute yafuatayo kupitia thread hii
Hana msaada kwa watanzania mfano mtu akipata matatizo
Ushirikiano na maafisa wachin ubalozn ulikuwa hafifu
Alidumaza demokrasia na uhusiano na Malawi kwa kuingilia mambo ya ndan ya taifa Hilo
Alishindwa kushawish wawekezaj wa Malawi kuwekeza nchin Tanzania
LAKINI umezungumzia magufuli mahaera ndyo walibumba uchaguz wa 2020 lakn polepole anaingiaje hapo nchin Malawi
Siasa siyo uadui ila wewe unageuza siasa n uadui kiongoz wako wa chama kutwa yupo ikulu kuleta maridhiano lakn wewe kutwa upo kufitinisha
Hana msaada kwa watanzania mfano mtu akipata matatizo
Ushirikiano na maafisa wachin ubalozn ulikuwa hafifu
Alidumaza demokrasia na uhusiano na Malawi kwa kuingilia mambo ya ndan ya taifa Hilo
Alishindwa kushawish wawekezaj wa Malawi kuwekeza nchin Tanzania
LAKINI umezungumzia magufuli mahaera ndyo walibumba uchaguz wa 2020 lakn polepole anaingiaje hapo nchin Malawi
Siasa siyo uadui ila wewe unageuza siasa n uadui kiongoz wako wa chama kutwa yupo ikulu kuleta maridhiano lakn wewe kutwa upo kufitinisha