Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Dec 7, 2010 #1 Lile jogoo la kenya lililokua na wake zaidi ya 130 hili hapa!
K kalikenye JF-Expert Member Dec 21, 2009 1,649 372 Dec 7, 2010 #2 Kwa jinsi lilivyo giant, he deserved
Fab JF-Expert Member Apr 16, 2010 757 14 Dec 7, 2010 #3 hivi aliwapaje wanawake wote hao?.......sie wanawake bwana!
Iza JF-Expert Member Jan 8, 2009 2,026 612 Dec 7, 2010 #4 Fab said: hivi aliwapaje wanawake wote hao?.......sie wanawake bwana! Click to expand... Ungekatiza mitaa yake ungemfahamu... Alikuwa anajisifu kwa kutoa mambo na u-handsome..
Fab said: hivi aliwapaje wanawake wote hao?.......sie wanawake bwana! Click to expand... Ungekatiza mitaa yake ungemfahamu... Alikuwa anajisifu kwa kutoa mambo na u-handsome..
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Dec 7, 2010 #5 Mh!unaweza ukawa na jogoo mkubwa,mzuri,mbabe!lakini kwa bahati mbaya [hawiki(impotent) erectile disfunction)]!
Mh!unaweza ukawa na jogoo mkubwa,mzuri,mbabe!lakini kwa bahati mbaya [hawiki(impotent) erectile disfunction)]!
K Kagalala JF-Expert Member Oct 31, 2010 2,403 1,132 Dec 7, 2010 #6 Huo mzunguko ulikuwa vipi au alikuwa anawapitia wanne kila siku na hiyo lazima walalamike
Fab JF-Expert Member Apr 16, 2010 757 14 Dec 7, 2010 #7 Fab said: hivi aliwapaje wanawake wote hao?.......sie wanawake bwana! Click to expand... nisingejikatiza kwake,nikijua kuna wanawake wengine...hell no!
Fab said: hivi aliwapaje wanawake wote hao?.......sie wanawake bwana! Click to expand... nisingejikatiza kwake,nikijua kuna wanawake wengine...hell no!
klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,648 5,140 Dec 7, 2010 #8 Fab said: nisingejikatiza kwake,nikijua kuna wanawake wengine...hell no! Click to expand... wanawake mkipata service VIP mnakuwa hamjali idadi. na hii ni nature kabisa (naomba usibishe)
Fab said: nisingejikatiza kwake,nikijua kuna wanawake wengine...hell no! Click to expand... wanawake mkipata service VIP mnakuwa hamjali idadi. na hii ni nature kabisa (naomba usibishe)
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Dec 7, 2010 #9 klorokwini said: wanawake mkipata service VIP mnakuwa hamjali idadi. na hii ni nature kabisa (naomba usibishe) Click to expand... Ni kweli kabisa ninao nane wala hawasumbui dozi tu inatosha!
klorokwini said: wanawake mkipata service VIP mnakuwa hamjali idadi. na hii ni nature kabisa (naomba usibishe) Click to expand... Ni kweli kabisa ninao nane wala hawasumbui dozi tu inatosha!
Mtego wa Noti JF-Expert Member Nov 27, 2010 2,591 1,599 Dec 7, 2010 #10 alikuwa anaaidiwa na vijana.. ndio walikuwa wanawapoza wake zake...