Ludanha JF-Expert Member Jan 24, 2014 552 645 Dec 9, 2016 #3 Hata walimu wapumzike maana kwa watoto wa aina hyo ni balaa
Lusajo11 JF-Expert Member Dec 13, 2014 1,887 1,958 Dec 9, 2016 #5 Hapo wanaona wanafanya jambo la maana sana
Amoxlin JF-Expert Member May 30, 2016 3,784 4,097 Dec 9, 2016 #6 Wana uwezo wa kuvumilia sindano 60 za makalio, acha wamchezee huyo mbwa.
Aishah2016 JF-Expert Member Jun 11, 2016 2,225 2,482 Dec 9, 2016 #7 Amoxlin said: Wana uwezo wa kuvumilia sindano 60 za makalio, acha wamchezee huyo mbwa. Click to expand... Hahaha washazoea fimbo
Amoxlin said: Wana uwezo wa kuvumilia sindano 60 za makalio, acha wamchezee huyo mbwa. Click to expand... Hahaha washazoea fimbo
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,932 31,178 Dec 9, 2016 #9 Kingsharon92 said: Huyo mbwa nahisi ni wa dar Click to expand... Duh tena mitaa ya Tandale.
nanawoo JF-Expert Member Jan 2, 2015 1,268 1,215 Dec 9, 2016 Thread starter #10 hao watoto ni noma mkuu hivi hadi mbwa unambeba katulia hivyo si mchezo
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,409 Dec 9, 2016 #11 Acheni watoto wadogo waje kwangu kwa maana ufalme wa mbinguni ni wa watu kama hao!
The Great Haya JF-Expert Member Apr 6, 2014 1,731 1,642 Dec 9, 2016 #13 Ndo maana watoto hawana maadili shuleni kumbe wazazi mlishakata tamaa nao
evart JF-Expert Member Sep 4, 2016 2,838 2,771 Dec 9, 2016 #14 Hii ni pale watoto wa iringa wanapo kutana na mbwa wa dArISaLaM
RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,764 107,976 Dec 9, 2016 #15 Mimi nilikuwa mtundu zaidi ya hao watoto.
samsun JF-Expert Member Feb 9, 2014 7,386 5,954 Dec 9, 2016 #16 Vitoto vyetu hivo,lakini watoto wa matajiri hawana muda wa kufanya hivo.
Black Sniper JF-Expert Member Dec 10, 2013 28,493 45,832 Dec 9, 2016 #17 Hapo utakuta wanaita jina la mwalimu
Zero Hours JF-Expert Member Apr 1, 2011 12,944 18,654 Dec 9, 2016 #18 Unaulisha shule zinafunguliwa lini, umesha andaa ada?
emmanuel mhecha JF-Expert Member Jun 21, 2015 933 542 Dec 9, 2016 #19 Umenikumbusha yaan kuna dogo alikuwa anamshikashika mbuzi mkian,alooo tulistuka dogo yupo chini kapewa teke na mbuzi,dogo anagalagala tu.NB isipite dakika 5 lazima ujue mtoto yupo eneo gani na anafanya mini WAZAZI
Umenikumbusha yaan kuna dogo alikuwa anamshikashika mbuzi mkian,alooo tulistuka dogo yupo chini kapewa teke na mbuzi,dogo anagalagala tu.NB isipite dakika 5 lazima ujue mtoto yupo eneo gani na anafanya mini WAZAZI
Mbimbinho JF-Expert Member Aug 1, 2009 8,317 7,738 Dec 9, 2016 #20 nanawoo said: Click to expand... Unafikiri wakina ticha msigwa huwa wanapandwa mizuka bure bure?? Hahaha
nanawoo said: Click to expand... Unafikiri wakina ticha msigwa huwa wanapandwa mizuka bure bure?? Hahaha