Likizo imekua kero kwa watoto wetu majumbani

nanawoo

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
1,267
1,215
23be064a49b3a2823e24f2dcffb3c8b7.jpg
 
Vitoto vyetu hivo,lakini watoto wa matajiri hawana muda wa kufanya hivo.
 
Umenikumbusha yaan kuna dogo alikuwa anamshikashika mbuzi mkian,alooo tulistuka dogo yupo chini kapewa teke na mbuzi,dogo anagalagala tu.NB isipite dakika 5 lazima ujue mtoto yupo eneo gani na anafanya mini WAZAZI
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom