Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
una uakika unachoKINENA Mkuu????
wewe bwana usiseme ivo kwa uy
mi stak
km vp ntakukimbia
ushaanza kuongea madudu mi utanboa mdas i mrefu
andka nichague
una uakika unachoKINENA Mkuu????
acha zako wewe
ndo umdandie na kumsugua mwenzako km unasugua sufuria yahusu?
yaan uyo mwanaume hana huruma ...manake ata akiambiwa anaumia yeye walahaon yeye ANAJALI STAREHE ZAKE TU BILA KUJUA UCHUNGU NA MAUMIVU YA MWENZAKE
ahhh ayo si mapenz bwna ebu amwambie mumewe ...sasa anaenjoy nin apo?dah ata km ndoa si kiivo....dah apana
ok thats right!!!!!sio mi wa madem yan apo yamaanisha nimeichagua chadema mapema mana ni kama gal mbichiiii ivo tunamwandaa kuwa mkubwa na kuongoza tz...
ila amnt player rose
St RR.....naomba mwongozo hapo juu....!
hii si ipo kwenye Job description ya mume? au?huyo ni mke wake lazima apewe haki yake ila cha msingi waelewane jinsi ya kufanya inaonekana huyo jamaa hata hana kazi ya kufanya kazi ni hiyo tu !
Hivi jumamosi tulionana eheee:doh::doh::tape::tape: basi nimekumbuka[/QUO..
dig dig acha habar zako
nkiachika utanijua......
on your way to Dom, pitia kwangu........Im sure utaachika na utaenda kwa Pope.acha uchonganish bwana
...nkiachika ntakuja kwako...
salam lakin?
Mwambie avumilie tu Ndoa ina shida na raha kwa sasa mwanaume ndo anapata raha yeye anapata karaha.
Kama ameshindwa kuhimili mikimiki amruhusu mwanaume atafuta nyumba ndogo awe anapoozea kwanza huko
on your way to Dom, pitia kwangu........Im sure utaachika na utaenda kwa Pope.
Angalao upite kwangu, mi shemejio nikufute machozi na nifanye utaratibu wa UKOO na yatokanayo.
Mwanamke so mbunifu huyo! mbona wanawake wa Tanga wanayaweza mpaka mwanamme anakimbia yeye? Ndo matatizo ya kulala kama gogo hayo......inatakiwa naye azungushe kiuno kama pia aone kama jamaa hatawatoa wareno fasta af akajilalia kivyake.
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
kwani anapotaka mara 3 hao wareno wanakuwa hawajatoka hizo mara 2? tena akiwafanya watoke fasta si ndo anakuwa hajachoka kabisa na kutaka tena? huyo ni kumyima tu kama hujisikii
kwani anapotaka mara 3 hao wareno wanakuwa hawajatoka hizo mara 2? tena akiwafanya watoke fasta si ndo anakuwa hajachoka kabisa na kutaka tena? huyo ni kumyima tu kama hujisikii
on your way to Dom, pitia kwangu........Im sure utaachika na utaenda kwa Pope.
Angalao upite kwangu, mi shemejio nikufute machozi na nifanye utaratibu wa UKOO na yatokanayo.
Fidel80, unasema avumilie kweli unajua shughli yake? mara 3 kwa usiku, kila siku! atakufa mtu hapo.
dah hahhahha hahha ...punguza saut asiskie.....poooooooooa ntaptia ..ukooo muimu kwa afya ya VIUNGO VYA MWILI.
:doh::doh::doh::doh:.....hii kauli ikitoka kwa digidigi sina hofu...ila ikitoka kwa mwenye kipawa cha kuvunja nguvu za giza... :doh::doh::doh::doh::doh:
Ukipita umekwisha...mark me!:smile-big::smile-big:
awe anaweka donge la barafu huko chini kupunguza moto unaotokana na msuguanoIshu hapa ni msuguano unaotokea hivyo inamlazimu kukojoa kwenye ndoo iliyojaa maji kunusuru majeruhi yaliopatikana