Ligwaride mara tatu kama dozi ya panadoli kama sio Asprini

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata
 
Mtaka cha uvunguni shart ainame, sasa akiinama hadi mgongo umuume shauri yake, swali langu ni kuwa, huyo mumewe haendi kazini kwani mpaka ampe dozi kutwa mara tatu?
 
Doh, kipondo tena! Na hapo sio kwamba kanyimwa kabisa, ila inakuwa kabaniwa nyongeza tu, sa' asipopewa kabisa inakuaje!
 
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata

Shared joy is a double joy; shared sorrow is half a sorrow
 
Mwambie avumilie tu Ndoa ina shida na raha kwa sasa mwanaume ndo anapata raha yeye anapata karaha.

Kama ameshindwa kuhimili mikimiki amruhusu mwanaume atafuta nyumba ndogo awe anapoozea kwanza huko
 
Pole zake akae chini na mmewe waliongee hili swala ,kila jambo na kiasi ukizidisha sana ni matatizo
Mbona jamaa anakula kama mchwa vile ?
 
Hii ndo inatakiwa yaani hapo mwanamke kutokana na mapigo anayopewa hawezi kuwa na hamu ya kutoka out na majamaa mengine
Hii poa sana
simika musisi...................
 
Hii ndo inatakiwa yaani hapo mwanamke kutokana na mapigo anayopewa hawezi kuwa na hamu ya kutoka out na majamaa mengine
Hii poa sana
simika musisi...................
Hivi wanatokaga nje kutafuta mizizi eeh??!!
na wanaume wanatoka nje kutafuta nini vile?!!
 
Is that devils' work as well? Because I want to rebuke it in the name of our Lord JC.
 
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata


Hiyo ndo heshima ya ndoa bana!wanawake acheni kulalamika bila msingi wowote!mkiguswa kishkaji huwa mnalialia, ooooh jamaa anajijali yeye tu, akimaliza tu ananigeuzia mgongo/mbinafsi!ukipata njemba inakusugua kisawasawa napo bado mnalalamika!sasa tuwaeleweje??????
 
Habari za masiku wanaJF wenzangu! Nashukuru mola tumeamka salama salmin....
Kama ilivyo ada kwa Mama kubwa kusakanya ushauri huku na kule pale anapofwatwa na jamii inayomzunguka. Pindi niliporudi safari akaja mwanadada mtanashati kwangu akiomba ushauri afanye nini maana anaona maji yamezidi unga. Mwanadada huyu ameolewa yapata miaka mitatu hivi iliyopita na wamejaaliwa kupata mtoto mmoja anasema walipofunga ndoa walikuwa wanakutana kimwili na mumewe mara tatu kwa wiki...baada tu ya kujifungua mume anataka ligwaride mara tatu kwa usiku yaani kama dozi ya panadoli kama sio Asprini. Anaomba ushauri afanye nini maana wakati mwingine inamlazimu kwenda haja ndogo kwanye ndoo ya maji kupooza huko maana ni hakufai jamaa amemsugua hasa. Nawaombeni tumshauri huyu mama afanyenini kwani ndo ipo mashakani na akikataa kipondo kinafuata

:doh::doh::doh::tape::tape::tape:

Una kesi jana ndio ukafanya nini?
 
Hiyo ndo heshima ya ndoa bana!wanawake acheni kulalamika bila msingi wowote!mkiguswa kishkaji huwa mnalialia, ooooh jamaa anajijali yeye tu, akimaliza tu ananigeuzia mgongo/mbinafsi!ukipata njemba inakusugua kisawasawa napo bado mnalalamika!sasa tuwaeleweje??????

acha zako wewe
ndo umdandie na kumsugua mwenzako km unasugua sufuria yahusu?
yaan uyo mwanaume hana huruma ...manake ata akiambiwa anaumia yeye walahaon yeye ANAJALI STAREHE ZAKE TU BILA KUJUA UCHUNGU NA MAUMIVU YA MWENZAKE
ahhh ayo si mapenz bwna ebu amwambie mumewe ...sasa anaenjoy nin apo?dah ata km ndoa si kiivo....dah apana
 
acha zako wewe
ndo umdandie na kumsugua mwenzako km unasugua sufuria yahusu?
yaan uyo mwanaume hana huruma ...manake ata akiambiwa anaumia yeye walahaon yeye ANAJALI STAREHE ZAKE TU BILA KUJUA UCHUNGU NA MAUMIVU YA MWENZAKE
ahhh ayo si mapenz bwna ebu amwambie mumewe ...sasa anaenjoy nin apo?dah ata km ndoa si kiivo....dah apana

:clap2::clap2:
 
Back
Top Bottom