ze-dudu wasikilizaji wa magic FM Ni wachache ukilinganisha na Wasafi media Ina watu wengi lazima iwe hivyo ila tukiachana na Hilo George ambangile Ni fundi aisee Wala haitaji maelezo mengi.najiuliza tu ambangile angekua bado magic fm mashabiki mngempigia chapuo namna hii?