Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
George Ambangile yupo calm.Siyo Edo kumwembe mara nilikuwa Brasil,mara Sammata nilivyokwenda Ubelgiji. Mara nilivyokuwa Madrid.......
Jamaa anajua, kuna siku nilimsikia anafanya uchambuzi wa mechi za ile ligi waliyoianzisha kwa kuiga Ndondo, jamaa anachambua utadhani ni ligi kubwa.