Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,144
- 48,369
Tunaisifu Sana na kuikuza kuliko uhalisia, lakini ligi yetu ni ya kawaida sana ila imejaa msisimko wa kishabiki.
Na wao wanapenda kujitapa kama vile ni timu za maana.Sanasana ni ligi ya mafarasi watatu wengine wote ni punda tu ila kelele ndio wanapiga wee utafikiri ni ligi ya maana.