Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Wakuu sasa ni mwaka wa 3 kama sikosei ligi ya Tanzania kuwepo kwenye rank ya ligi bora Africa, lakini timu zetu zinakosea wapi?
Tukiweka ushabiki msimu uliopita Yanga walifika fainali ya shirikisho, Simba nayo imeingia robo fainali club bingwa na kurudi hapo.
Yanga waliweka malengo kufika makundi mwaka huu ingawa wametimiza malengo yao lakini bado inajitafuta.
Simba malengo yake kila mwaka ni kufika nusu ila hatuyatimizi na hapa hakuna kuchekana maana pia kwa Yanga kufika fainali ya shirikisho halafu kuishia makundi ni malengo madogo sana.
Simba kila mwaka malengo ni nusu fainali, cha kushangaza wachezaji karibia wote wame-flop.
Ligi ya 5 kwa ubora Africa ila hata robo mwaka huu ni ngumu.
Je tunafeli wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiweka ushabiki msimu uliopita Yanga walifika fainali ya shirikisho, Simba nayo imeingia robo fainali club bingwa na kurudi hapo.
Yanga waliweka malengo kufika makundi mwaka huu ingawa wametimiza malengo yao lakini bado inajitafuta.
Simba malengo yake kila mwaka ni kufika nusu ila hatuyatimizi na hapa hakuna kuchekana maana pia kwa Yanga kufika fainali ya shirikisho halafu kuishia makundi ni malengo madogo sana.
Simba kila mwaka malengo ni nusu fainali, cha kushangaza wachezaji karibia wote wame-flop.
Ligi ya 5 kwa ubora Africa ila hata robo mwaka huu ni ngumu.
Je tunafeli wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app