kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Ambacho hamkijui ile ligi watu wananunua tiketi za msimu mzima tena sio watu tu hadi mashirika huwalipia watu mbalimbali, haki za Tv hulipwa msimu mzima, matangazo, wadhamin na mambo mengi hufanywa Kwa msimu, sasa kufuta ligi maana yake ni epl ivunje mkataba, kwa kufanya hivyo italipa fedha nyingi sana na inaweza kufirisika kabisa, kwahiyo afe beki afe kipa ligi lazima ifike mwisho.
Tena ni heri ligi ichelewe kuisha uhairishwe msimu ujao kuliko kufuta msimu huu. Haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni heri ligi ichelewe kuisha uhairishwe msimu ujao kuliko kufuta msimu huu. Haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app