INANIUMA SANA SIMBA NA YANGA ZINAENDA UELEKEO TOFAUTI.
Chama langu linaenda huku, Ndala wanaenda huku.
Ngoja niendelee na 'likizo' yangu ya kutoingia humu.
Naipenda yanga mwana wa jangwanii uuuuuhhh!!!oyooooioiyooooyooooo oyoooooo oyooooooyooooo nampenda msuva mtoto wa jangwaniiiiii!!!!!nampenda ngasa mtoto wa jangwaniiiiii oyooooooooo oyoyoooooo oyoooyooooooooo!!!!!!!
simba kafungwa goli moja azamfc wametoa sare na magereza
Mkuu ukiondoa mabonanza unakumbuka mechi ya mwisho ya kwenye ligi ya voda alifungwa nani?
Msimamo wa ligi unasemaje ..? Leteni picha tafadhali.
Pos | Team | Pld | W | T | L | Goals | Diff | Pts | ||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | | Young Africans | 15 | 9 | 4 | 2 | 21 | 13 | 31 | |
2 | | Azam | 15 | 7 | 6 | 2 | 22 | 10 | 27 | |
3 | | Kagera Sugar | 17 | 6 | 7 | 4 | 13 | 2 | 25 | |
4 | | Simba | 15 | 4 | 8 | 3 | 15 | 3 | 20 | |
5 | | Ruvu Shooting | 15 | 5 | 5 | 5 | 10 | -1 | 20 | |
6 | | Polisi Morogoro | 17 | 4 | 8 | 5 | 12 | -2 | 20 | |
7 | | Mtibwa Sugar | 15 | 4 | 7 | 4 | 15 | 0 | 19 | |
8 | | JKT Ruvu | 15 | 5 | 4 | 6 | 14 | -1 | 19 | |
9 | | Coastal Union | 16 | 4 | 7 | 5 | 10 | 0 | 19 | |
10 | | Ndanda | 16 | 5 | 4 | 7 | 14 | -4 | 19 | |
11 | ↑ | Stand United | 16 | 4 | 6 | 6 | 14 | -4 | 18 | |
12 | | Mgambo JKT | 14 | 5 | 2 | 7 | 8 | -7 | 17 | |
13 | ↓ | Mbeya City | 15 | 4 | 5 | 6 | 10 | -4 | 17 | |
14 | | Prisons | 15 | 1 | 9 | 5 | 10 | -5 | 12 |
Pure nomaa unatisha Mkuu.Kutokana
na kiwango kizuri cha yanga kwa sasa leo ni ushindi tu na kwa ubovu wa simba ni kupigwa tu na stend united
Hahaaaa nilijua umekasirikaa 3 nnkumbekufunga oyoyoyoyoooooooo nampenda totafrcan mtoto was jangwaniiii mtakoma mwakaniii hukuu tunamadogo Toto mnaakumbuka kuliaa kuna African sport yatanga weeeeHii sasa sifa! kila siku unafunga tu.
Wanajisikia maumivu kama ya IsisHivi mashabiki wa Simba sports club wanajisikiaje wanapoona yanga inatoa burudani hii...?
Anatisha vibaya kamanaona mashabiki wasimba wanavyomtizamaPure nomaa unatisha Mkuu.
Anatisha vibaya kamanaona mashabiki wasimba wanavyomtizama
Hivi mashabiki wa Simba sports club wanajisikiaje wanapoona yanga inatoa burudani hii...?
Mkuu Pdidy mikiaaaaaaaaaaahaooooooooowamekimbiajukwaahawanachaotenamaanamanenoyoteyauteteziwameyatoahapajukwaanihawaoniwaandikenini tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Haooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!