Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

Hahahaaa, mbona juzi mlivyofunga hukusema hivi?

fuatilia kauli zangu.Mara zote naombea simba itatue tatizo la msingi.na hadi kukubali kulitatua lazima tufungwe kwanza.kimsingi simba imeamua kuwa hivyo kwa sababu ya migogoro
 
fuatilia kauli zangu.Mara zote naombea simba itatue tatizo la msingi.na hadi kukubali kulitatua lazima tufungwe kwanza.kimsingi simba imeamua kuwa hivyo kwa sababu ya migogoro

Mtajijua wenyewe bwana na migogoro yenu sie tunafungua champagne kwa raha zetu...
 
Sawaka Ng'wanagandila nisanya limakobha nduhu ukushoka nazumalaga, kamuli nalindebha...

Sungwa nyanyika, u obhuta bhukali atazumalaga bhuli kwenye uko nupindila; nushindikaga ningi, Ing'wadubhi nu kwene nunshindika ong'wangalula na ha Masengwa nushindika nang'hwe uong'wamanengelo, nibhuge na nani? ...

Ng'wabheja sana Stand United FC.

CC. Masuke: Shangilia timu ya nyumbani imetakata!
 

Attachments

  • Simba 1.jpg
    Simba 1.jpg
    13.9 KB · Views: 477
Tickets ni electronic lakin website yao ni manual!!! Hii ni Tanzania tu ambapo mpira unaisha website inaonyesha standing ya week iliyopita ImageUploadedByJamiiForums1424619654.127558.jpg
 
Sawaka Ng'wanagandila nisanya limakobha nduhu ukushoka nazumalaga, kamuli nalindebha...

Sungwa nyanyika, u obhuta bhukali atazumalaga bhuli kwenye uko nupindila; nushindikaga ningi, Ing'wadubhi nu kwene nunshindika ong'wangalula na ha Masengwa nushindika nang'hwe uong'wamanengelo, nibhuge na nani? ...

Ng'wabheja sana Stand United FC.

CC. Masuke: Shangilia timu ya nyumbani imetakata!

Msiba kaka, tuna majonzi ya msiba wa jembe letu. Hongereni sana wanashinyanga.
 
Back
Top Bottom