mito JF-Expert Member Jun 20, 2011 10,513 10,404 Oct 28, 2017 #21 Mwashiuya anakuwa mzuri akitokea sub
kipoma JF-Expert Member Aug 27, 2012 325 169 Oct 28, 2017 #24 Kutoka uwanja wa huru, hayo ndiyo matokeo!! Hakuna namna.
kipoma JF-Expert Member Aug 27, 2012 325 169 Oct 28, 2017 #25 Tupia hapa yanayojiri uwanja wa Uhuru mechi ya watani wa jadi, SIMBA VS YANGA
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 28, 2017 #28 Wachezaji wa Team zote mbili wameshaingia uwanjani..muda wowote game inaanza
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 28, 2017 #29 Mpira umeanzaaaaa ...simba wameanzisha
Rahabu JF-Expert Member Jan 21, 2014 5,525 3,316 Oct 28, 2017 #30 Matokeo vipi jamani wengine tupombali navyombo vya habari
shululu JF-Expert Member Jan 26, 2015 28,137 109,896 Oct 28, 2017 #31 Shunie said: Mnyamaaaaaa Click to expand... Ngapi ngapi
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 28, 2017 #32 Dakika ya 1 bado 0-0 simba wanajaribu hapa na pale
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 28, 2017 #34 Dakika ya 4 yanga wanajaribu kulisogelea goli ya simba lakini juhudi zinashindikana
Kyawanjubu JF-Expert Member May 13, 2017 2,436 2,156 Oct 28, 2017 #35 Mubashara kinachoendelea uwanjani
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,384 Oct 28, 2017 #36 Dakika ya 6 Yanga offside... Ajibu
Shunie JF-Expert Member Aug 14, 2016 152,998 453,962 Oct 28, 2017 #37 shululu said: Ngapi ngapi Click to expand... Mmh
Jaby'z JF-Expert Member Jan 15, 2013 4,296 7,603 Oct 28, 2017 #39 kweli mkuu Joseverest ni mod siku hizi
Kyawanjubu JF-Expert Member May 13, 2017 2,436 2,156 Oct 28, 2017 #40 Mpaka sasa simba anaonekana bora maana ashafika langoni kwa yanga mara 3 mavugo anakosa utulivu