Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) | Mzunguko wa 8: Young Africans SC Vs Simba SC, Washindwa kutambiana. 28 Oktoba 2017

FB_20171027_13_38_34_Saved_Picture.jpg
 
Tupia hapa yanayojiri uwanja wa Uhuru mechi ya watani wa jadi, SIMBA VS YANGA
 
Mpaka sasa simba anaonekana bora maana ashafika langoni kwa yanga mara 3 mavugo anakosa utulivu
 
Back
Top Bottom