Simba niya kawaida sawa.. timu iliyochukua ubingwa msimu uliopita imeongeza watu wapya kama:..
CHAMA
KAGERE
ZANA
Na ndio timu iliyofika robo CAF CL, Sikatai hatuna udhaifu.. tunao , swala la kuhonga marefa atakuwa analifanya Simba tu sababu ya MO??
N wewe mwenye kikosi kipana uliejinasubu humu ndani kwamba hata ukipangiwa mechi interval kwa siku mbili mbili unatusua tu,wewe umepoteza game 4 ,mimi 2 . . hapo nani anateseka?
Bila shaka huo mtindo wa milioni za marefa uliwasaidia enzi za MALINZI na MANJI.Humu hatutaji majina ya watu...kumtaja huyo uliyemtaja siyo sahihi kabisa...ni kumuonea...ila bila kuwa na shilingi milioni mbili za marefa huwezi kushinda mechi...
Kikosi kipo.. haina maana huwezi kupoteza mechi.N wewe mwenye kikosi kipana uliejinasubu humu ndani kwamba hata ukipangiwa mechi interval kwa siku mbili mbili unatusua tu,
Nnachokiona mimi kocha wa Kagera aliziangalia sana video za gemu za Simba ugenini kwenye champions league akagundua kuwa mkicheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka Simba hawakabi wanaangalia kwa macho tu. Kingine alijua Simba ulinzi ni koti tu limewekwa hasa upande wa Coulybaly, ndio siri ya ushindi.Timi inaonekana imekosa energy nadhani uchovu umechangia pia
Pasaka ishaharibika *****
Hizo pasi walipiga taifa wakala 5... ngoja tuone KirumbaNnachokiona mimi kocha wa Kagera aliziangalia sana video za gemu za Simba ugenini kwenye champions league akagundua kuwa mkicheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka Simba hawakabi wanaangalia kwa macho tu. Kingine alijua Simba ulinzi ni koti tu limewekwa hasa upande wa Coulybaly, ndio siri ya ushindi.
Alliance nao wanaziweza sana pasi sijui kama tutaweza kuwazuia, tunacheza nalenale sana.
Bila shaka huo mtindo wa milioni za marefa uliwasaidia enzi za MALINZI na MANJI.
Hata wanaoongoza ligi nina shaka naoInawezekana kabisa...ila hapana shaka yoyote ile kwa sasa klabu ya Simba inatumia fedha kuhonga marefa na hata baadhi ya wwachezaji wa timu pinzani...binafsi sina shaka na hili