Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Naona mbute humu walifurahi magego yote nje 😡😡😡 Simba hapotezi tena afe mbwa afe panya 💪
 
Simba niya kawaida sawa.. timu iliyochukua ubingwa msimu uliopita imeongeza watu wapya kama:..
CHAMA
KAGERE
ZANA
Na ndio timu iliyofika robo CAF CL, Sikatai hatuna udhaifu.. tunao , swala la kuhonga marefa atakuwa analifanya Simba tu sababu ya MO??

Humu hatutaji majina ya watu...kumtaja huyo uliyemtaja siyo sahihi kabisa...ni kumuonea...ila bila kuwa na shilingi milioni mbili za marefa huwezi kushinda mechi...
 
Humu hatutaji majina ya watu...kumtaja huyo uliyemtaja siyo sahihi kabisa...ni kumuonea...ila bila kuwa na shilingi milioni mbili za marefa huwezi kushinda mechi...
Bila shaka huo mtindo wa milioni za marefa uliwasaidia enzi za MALINZI na MANJI.
 
Timi inaonekana imekosa energy nadhani uchovu umechangia pia

Pasaka ishaharibika *****
Nnachokiona mimi kocha wa Kagera aliziangalia sana video za gemu za Simba ugenini kwenye champions league akagundua kuwa mkicheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka Simba hawakabi wanaangalia kwa macho tu. Kingine alijua Simba ulinzi ni koti tu limewekwa hasa upande wa Coulybaly, ndio siri ya ushindi.

Alliance nao wanaziweza sana pasi sijui kama tutaweza kuwazuia, tunacheza nalenale sana.
 
Nnachokiona mimi kocha wa Kagera aliziangalia sana video za gemu za Simba ugenini kwenye champions league akagundua kuwa mkicheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka Simba hawakabi wanaangalia kwa macho tu. Kingine alijua Simba ulinzi ni koti tu limewekwa hasa upande wa Coulybaly, ndio siri ya ushindi.
Alliance nao wanaziweza sana pasi sijui kama tutaweza kuwazuia, tunacheza nalenale sana.
Hizo pasi walipiga taifa wakala 5... ngoja tuone Kirumba
 
Bila shaka huo mtindo wa milioni za marefa uliwasaidia enzi za MALINZI na MANJI.

Inawezekana kabisa...ila hapana shaka yoyote ile kwa sasa klabu ya Simba inatumia fedha kuhonga marefa na hata baadhi ya wwachezaji wa timu pinzani...binafsi sina shaka na hili
 
Inawezekana kabisa...ila hapana shaka yoyote ile kwa sasa klabu ya Simba inatumia fedha kuhonga marefa na hata baadhi ya wwachezaji wa timu pinzani...binafsi sina shaka na hili
Hata wanaoongoza ligi nina shaka nao
 
Samahani lakini
20190422_195534.jpeg
 
Back
Top Bottom