Ligi Kuu Bara, 7 & 8 Februari 2015

Viwango vya wachezaji wetu bado sio vizuri, wanatakiwa waongeze juhudi binafsi. Mechi haziridhishi viwanjani zaidi ya ubishi na ushawishi wa vurugu kwa kuonyesha hisia za kuonewa kila mara wakati wa mechi.
 
youngsharo unataka kuja kuongea na dada yako nini? haya njoo... utatukuta tupo home tu. maswali yako yote mtajibizana.ila yeye anasema hata ukija hainuki hapa nlipompakata. so utaongea naye tu hapa hapa...

???????????? basi siji.
 
Lojolojo anaingia kwa upande wa simba kuchukua nafasi ya simon sserunkuma.
 
Bado tu coastal fanyeni mambo bana niendelee kusherehekea mie.
 
Naona wale mashabiki wa Kange, Mto Utofu, Magomeni, Mikanjuni wanaanza kuondoka uwanjani...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom