Lies Men Tell Before Sex

Lies Men Tell Before Sex

Kwa ridhaa yake hakuna labda mwanamke atie ngumu ambacho mimikilishanikuta nikaja kulala saa 2 asubuhi maana usiku sikulala na bembeleza nalazimisha!wapiii!!!
hahahahah, ulikomeshwajee! lol
 
Unanchokozaeeee ngoja nkutungie hadithi ingine!!!!

I'v missed u btw bro... #noHomo
Umepaniki bratha!....kumbe zile zilikuwa hadithi wakati mimi nimechukulia krediti nani kang'oa!sasa niongezee nishani!
 
hivi kuna mwanaume anaeweza kulala na mwanamke bila kumdinya?

Mwanamke unamaanisha nini? Wanandoa wanalala na wenzi wao na hawafanyi kila siku

Inawezekana ila utaumia sana mihemko hua nimikali sana labda uwe mchelemchele na vitanda viwe mbali mbali lakini ile ya shuka moja ngumu sana

Wanandoa walale vitanda tofauti?
 
At my age, or is it this crazy mind of mine? Hamna kuzungushana. If I want I get it, if I don't I say so. Tunazungushana kwanini? I am not the type who seeks benefits, so I dont lie, and I certainly do not accept lies.
 
hivi kuna mwanaume anaeweza kulala na mwanamke bila kumdinya?

Yeah,imewahi nitokea.
Alikua kalewa,akaniomba nisifanye chochote coz hajui maamuzi yake kama ni ndio ama sio (we are friends,na tulitoka out that day,ikatokea tu tumefika kwangu).

Tulilala tu,siku mbili baada ndo ilikua majanga. Still "friends" though
 
Yeah,imewahi nitokea.
Alikua kalewa,akaniomba nisifanye chochote coz hajui maamuzi yake kama ni ndio ama sio (we are friends,na tulitoka out that day,ikatokea tu tumefika kwangu).

Tulilala tu,siku mbili baada ndo ilikua majanga. Still "friends" though

kumbe inawezekana! ila mwanaume awe mstaarabu kweli, unaweza kubakwa bure ushindwe hata kusema. hizi risks zingine hizi. mmmh!
 
Siku hizi hakuna porojo na bla bla - straight to the point...... anty nimekumind inawezekana twende kama haiwezekani basi chukua time..... Hakuna muda wa kupoteza wamejaa hapo kona baa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom