Licha ya Serikali kupitisha Sheria ya Wakandarasi wa ndani kupewa tenda za miradi isiyozidi Bilioni 50 lakini bado Wachina wanapewa kazi

Licha ya Serikali kupitisha Sheria ya Wakandarasi wa ndani kupewa tenda za miradi isiyozidi Bilioni 50 lakini bado Wachina wanapewa kazi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,084
Reaction score
84,978
Pamoja na Serikali Kupitisha Sheria ya local content ambapo kiwango Cha tenda za ujenzi kilichotengwa Kwa Ajili ya Wakandarasi wa Ndani/wazawa kuwa Bilioni 50 Lakini Bado Serikali na taasisi zake inapuuza maamuzi yake yenyewe.

Kwa utaratibu huu unategemea Ajira na kuwezesha wazawa kutafanikiwaje ikiwa watinga sheria ndio wavunja sheria?

View: https://youtu.be/OQt8Ug51zYg?feature=shared
================
Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI) Complex jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu amesema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Dkt. Nungu amesema katika mradi huo COSTECH wametengewa Sh. Bilioni 18 ambazo zitatumika kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha menejimenti ya mifumo elimu ya juu katika kuwezesha mageuzi ya elimu kiuchumi pamoja na kuboresha miundo mbinu ya COSTECH.

My Take
Vijana ma jobless endeleeni kupambania mstakabli wenu vinginevyo fursa yenu itaendelea kuchukuliwa na Wageni hasa Wachina.

View: https://x.com/swahilitimes/status/1904210871141683407?t=m4QYkD5Ya2x14o7WIg7C_w&s=19
 
Pamoja na Serikali Kupitisha Sheria ya local content ambapo kiwango Cha tenda za ujenzi kilichotengwa Kwa Ajili ya Wakandarasi wa Ndani/wazawa kuwa Bilioni 50 Lakini Bado Serikali na taasisi zake inapuuza maamuzi yake yenyewe.

Kwa utaratibu huu unategemea Ajira na kuwezesha wazawa kutafanikiwaje ikiwa watinga sheria ndio wavunja sheria?
================
Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI) Complex jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu amesema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Dkt. Nungu amesema katika mradi huo COSTECH wametengewa Sh. Bilioni 18 ambazo zitatumika kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha menejimenti ya mifumo elimu ya juu katika kuwezesha mageuzi ya elimu kiuchumi pamoja na kuboresha miundo mbinu ya COSTECH.

My Take
Vijana ma jobless endeleeni kulinukisha vinginevyo fursa yenu itaendelea kuchukuliwa na Wageni hasa Wachina.
Nakuunga mkono once again, its seems hata wakuu wenyewe hawafuati sheria zinazowabeba wakandarasi wa ndani.

Vijana wanaendelee kukinukisha mpaka mamlaka zitambue umuhimu wao,watawala wanawachukulia poa
 
Je wanaopewa wana vigezo?
Vigezi vifuatwe
 
Pamoja na Serikali Kupitisha Sheria ya local content ambapo kiwango Cha tenda za ujenzi kilichotengwa Kwa Ajili ya Wakandarasi wa Ndani/wazawa kuwa Bilioni 50 Lakini Bado Serikali na taasisi zake inapuuza maamuzi yake yenyewe.

Kwa utaratibu huu unategemea Ajira na kuwezesha wazawa kutafanikiwaje ikiwa watinga sheria ndio wavunja sheria?
================
Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI) Complex jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu amesema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Dkt. Nungu amesema katika mradi huo COSTECH wametengewa Sh. Bilioni 18 ambazo zitatumika kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha menejimenti ya mifumo elimu ya juu katika kuwezesha mageuzi ya elimu kiuchumi pamoja na kuboresha miundo mbinu ya COSTECH.

My Take
Vijana ma jobless endeleeni kulinukisha vinginevyo fursa yenu itaendelea kuchukuliwa na Wageni hasa Wachina.
Upo sahihi mkuu, inasikitisha kuona maengineer wetu wanaambiwa waende VETA halafu kandarasi wanapewa wachina.

Serikali ianzishe kampuni ya ukandarasi iatakayoendesha miradi ya nchi na kutengeneza miundombinu yake naamini uwezo tunao.
 
Nakuunga mkono once again, its seems hata wakuu wenyewe hawafuati sheria zinazowabeba wakandarasi wa ndani.

Vijana wanaendelee kukinukisha mpaka mamlaka zitambue umuhimu wao,watawala wanawachukulia poa
Ni wajibu wa Wizara ya Fedha,PPPRA na wanaohusika na local content kutoa waraka wa amri ya hizi sheria.

Haiwezekani watu wapo wapo tuu bila kujua sera za Nchi na ni viongozi wa taasisi.
 
Mkono mtupu haulambwi na Wachina hawajakaa kizembe zembe.

Ila kuna umuhimu wa kuwa makini na Wachina maana wana hulka ya kufanya uhalifu wa aina nyingi..


View: https://x.com/ADFmagazine/status/1902102286077440126?t=p2RFpvPZV1oxy8AkUQ1-_w&s=08

Kama waataka kulambwa iwe ni Kwa mambo yanayoruhusiwa kisheria ,miradi ya chini ya Bilioni 50 sio ya Kampuni za Nje Bali wazawa.

Ningekuwa na mamlaka walifanya hii tenda ningewafukuza mara Moja.

Ndio Maana nasema njia pekee ni Vijana kupigania mstakabali wao Kwa kuhakikisha watu wa hivi hawakai kwenye ofisi za Umma.
 
Nakuunga mkono once again, its seems hata wakuu wenyewe hawafuati sheria zinazowabeba wakandarasi wa ndani.

Vijana wanaendelee kukinukisha mpaka mamlaka zitambue umuhimu wao,watawala wanawachukulia poa
Mkate mbele ya chai lazima uwe dhaifu tu, hawa macho madogo hawa wanambinu zao acha tu
 
Mkate mbele ya chai lazima uwe dhaifu tu, hawa macho madogo hawa wanambinu zao acha tu
Mbinu zao ni hongo tu. Na wanajua vipe african leaders ni so corrupt, kwa kiasi fulan cha pesa wanaweza nunua miradi mikubwa bila hata kujali
 
Ni wajibu wa Wizara ya Fedha,PPPRA na wanaohusika na local content kutoa waraka wa amri ya hizi sheria.

Haiwezekani watu wapo wapo tuu bila kujua sera za Nchi na ni viongozi wa taasisi.
hao ndio wanawadidimiza, its like wakuu wa taasisi wana operate kwa mazoea, si kwa kufuata sheria. Mwishowe mtanzania anagandamizwa
 
Pamoja na Serikali Kupitisha Sheria ya local content ambapo kiwango Cha tenda za ujenzi kilichotengwa Kwa Ajili ya Wakandarasi wa Ndani/wazawa kuwa Bilioni 50 Lakini Bado Serikali na taasisi zake inapuuza maamuzi yake yenyewe.

Kwa utaratibu huu unategemea Ajira na kuwezesha wazawa kutafanikiwaje ikiwa watinga sheria ndio wavunja sheria?
================
Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI) Complex jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu amesema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Dkt. Nungu amesema katika mradi huo COSTECH wametengewa Sh. Bilioni 18 ambazo zitatumika kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha menejimenti ya mifumo elimu ya juu katika kuwezesha mageuzi ya elimu kiuchumi pamoja na kuboresha miundo mbinu ya COSTECH.

My Take
Vijana ma jobless endeleeni kupambania mstakabli wenu vinginevyo fursa yenu itaendelea kuchukuliwa na Wageni hasa Wachina.
Faida kubwa (kamba ndefu) ndio inawaponza waTanzania
 
Faida kubwa (kamba ndefu) ndio inawaponza waTanzania
Kamba ndefu kivipi? Hoja ni kukiukwa Kwa sheria ya local content.

Kwenye category ya miradi ya chini ya Bilioni 50 Mchina anaingiaje?

Harafu mnashangaza sana unategemea Watoto Wenu watafanya kazi gani naona unashabikia yaani.
 
Pamoja na Serikali Kupitisha Sheria ya local content ambapo kiwango Cha tenda za ujenzi kilichotengwa Kwa Ajili ya Wakandarasi wa Ndani/wazawa kuwa Bilioni 50 Lakini Bado Serikali na taasisi zake inapuuza maamuzi yake yenyewe.

Kwa utaratibu huu unategemea Ajira na kuwezesha wazawa kutafanikiwaje ikiwa watinga sheria ndio wavunja sheria?
================
Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesaini mkataba na Kampuni ya TIL Construction Limited kwa ajili ya kuanza ujenzi wa Jengo la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (STI) Complex jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu amesema kuwa ujenzi huo ni sehemu ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia.

Dkt. Nungu amesema katika mradi huo COSTECH wametengewa Sh. Bilioni 18 ambazo zitatumika kwa ajili ya kuimarisha na kuboresha menejimenti ya mifumo elimu ya juu katika kuwezesha mageuzi ya elimu kiuchumi pamoja na kuboresha miundo mbinu ya COSTECH.

My Take
Vijana ma jobless endeleeni kupambania mstakabli wenu vinginevyo fursa yenu itaendelea kuchukuliwa na Wageni hasa Wachina.
No reform, election is poor
 
Back
Top Bottom