Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,743
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.

========



The Libyan government is to investigate allegations that African migrants are being sold as slaves at auctions.

Tens of thousands of migrants, many of them from West Africa but also Bangladesh, Somalia, Sudan and Eritrea, are being held in camps and warehouses on the Libyan coast, hoping to reach Europe.

When the warehouses become overcrowded, or if migrants are unable to pay traffickers for the boat journey towards Italy – where many are rescued by NGO-operated vessels – they are sold.

The existence of modern-day slave markets has been known for months, with testimony from the International Organisation for Migration and other humanitarian agencies, but last week CNN obtained video footage of one such auction.

In scenes reminiscent of the 19th century, when the slave trade was rife, auctioneers advertised a group of West African migrants as “big strong boys for farm work.” The auctioneers referred to the migrants in Arabic as “merchandise”.

The CNN footage showed buyers bidding for the migrants, who were sold off for as little as $400 each. One West African man told the television network: “Sure, I was sold”. Others recounted how they were beaten by their “owners” as they put to work.

Ahmed Metig, the deputy prime minister of the UN-backed Government of National Accord in Tripoli, said the allegations would be investigated.

He said he would establish a "commission to investigate these reports in order to apprehend and bring those responsible to justice.”

Alpha Conde, the president of Guinea and chairman of the African Union, where many migrants come from, called for an inquiry and prosecutions relating to what he termed a "despicable trade... from another era". The Senegalese government called the apparent slave market a "blight on the conscience of humanity".

The IOM reported the existence of slave markets in April. “The reports of ‘slave markets’ for migrants can be added to a long list of outrages [in Libya],” said Mohammed Abdiker, IOM’s head of operation and emergencies. “The situation is dire. The more IOM engages inside Libya, the more we learn that it is a vale of tears for all too many migrants.”

Migrants who are rescued at sea and brought to Italy have told how they are beaten, tortured and in some cases raped by traffickers in Libya.

Many young women end up as prostitutes on the streets of Italy, with Nigerian girls as young as 13 forced to sell themselves for as little as 10 euros (£8.90) a time, terrified into submission by gang rape and voodoo curses.

It is estimated that 80 per cent of Nigerian teenage girls and young women who make it to Italy are forced into the sex trade.

Source: Telegraph, Video by DailyMail
 
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.
Sorry, sijaisikia hii habari. Wanapigwa mnada ili iweje?? Watumwa?? Machangudoa?? Wafanyikazi wa kawaida au inakuwaje boss??
 
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.
leta source tufuatilie na tuhakiki
 
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.

Ndio demokrasia iyo waliyoitaka
 
Ngoja wapigwe mnada siwanakimbia nchi zao!,nchi za uarabuni ni matatizo mtupu na wanaubaguzi wa hali ya juu,hao waafrika weusi wanashindwa kutulia kwenye nchi zao wao kila kukicha wanakimbilia huko kutafuta maisha mazuri,maisha mazuri wanayotafuta ndo hayo sasa ngoja waipate fresh!
 
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.
Hizo picha umeziona wapi?
Ziweke hapa...
 
Kwa Libya ni kawaida mkuu..unajua lile linatumika pia kama lango la kutokea kwenda ulaya..kuna waafrika magharibi wengi wamejaa kule..nakuna mawakala wa kumwaga wa human trafficking.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.
watu wanapo taka uhuru zaidi ndo mazara yake.nchi za afrika hata uziweke vipi bado watakuona mbaya,hayo ndio matokeo ya demokrasia ndo afrika wanazo taka
 
watu wanapo taka uhuru zaidi ndo mazara yake.nchi za afrika hata uziweke vipi bado watakuona mbaya,hayo ndio matokeo ya demokrasia ndo afrika wanazo taka
Hapa mkuu umenena mana walichopanda ndio wanachovuna,kumuua Gaddafi damu yake itawaangamiza wenyewe Kwa uroho wa madaraka na kutumiwa na vizungu uchwara bila fikira
 
Back
Top Bottom