Libermann Secondary School Goba

Libermann Secondary School Goba

mtx2006

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2008
Posts
276
Reaction score
145
Nilikuwa nimepata nafasi ya mtoto kwenda Libermann Secondary pale Goba. Kwa wenye uzoefu na hii shule kitabia na malezi ya watoto anisaidie?
 
Fanya uchunguzi zaidi, isije kuwa unashiriki kuichafua shule tajwa
 
Mkuu unakosea sana kuihusisha Taasisi yenye hadhi kama liberman Boys ambayo iko chini ya Holy Ghost Fathers na vitendo vya kishoga!Kwa kweli umenihuzunisha kwani inaelekea hujui kuwa watoto wetu tunaowapeleka pale ndo wanakuwa na tabia mbovu ambazo either wanatoka nazo majumbani mwao au shule walizotoka. Mimi ni mmoja wa wazazi ambao naona fahari sana kwa mwanangu kumaliza pale na sijawahi kusikia uchafu huo unaousema.Wakati mwingine unaweza kushtakiwa kwa defamation kwa kuihusisha taasisi kubwa kama ile na vitendo vya mwanafunzi mmoja mmoja.
 
Samahani sana kama nitakuwa nimeeleweka vibaya. Nia yangu sio kuhusisha taasisi ila najua ni wanafunzi wenye tabia chafu ambao wanatakiwa kusimamiwa vizuri ili wasiwe na tabia hiyo. Ndio maana nikamua kuuliza kwa wenye uzoefu na hiyo shule.
 
Nilikuwa kwenye kutaka kuijua shule lakini bahati mbaya taarifa niliyopata kwa mtu wa kwanza ni hizo. Sasa kumpata mwingine ni ngumu zaidi ya kutumia jukwaa.

Sorry kama sikutakiwa kuuliza hadharani but privately unaweza mtu yeyeyote hanisaidie
 
Back
Top Bottom