Ethiopia was a Jewish empire.
Ethiopia walikuwa na nguvu ya kijeshi. Kuna bepari m1 km sikosei ni USA au Germany alijaribu kufanya attack akachakazwa vibaya
acha umbea,aliyechakazwa ni italy.
mmbea ni wewe uliye-reply kitu ambacho hujaambiwa wewe. Mpaka usome vitabu ndo utafute cha kusema
mmbea ni wewe uliye-reply kitu ambacho hujaambiwa wewe. Mpaka usome vitabu ndo utafute cha kusema
kubali kwanza kuwa wewe ni kilaza wa kiwango cha juu kabisa halafu ndio tuendelee
kafungue tena vitabu, ndo maana ukajiita #tang'ana. Jina na akili yako vinasadifiana