Ishu ni kwamba,ethiopia ilikua na uongozi imara na jeshi imara toka zamani hvyo ilitoa kichapo kikali kwa wazungu waliotaka kuivamia,kuhusu liberia ni kwamba haikutawaliwa coz ilikua ni nchi ambayo ilitumika kuwapokea waliokua wafrika watumwa kule america baada ya kusitishwa kwa biashara ya utumwa duniani kwa maelezo zaidi kuhusu liberia soma habari za movements za wakina Du bois,sylvester,malcom x etc me nimekupa mwanga tu.