LHRC yatoa ufafanuzi wa kisheria juu ya sakata la mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo

Bibi Kijo Bisimba ana uhusiano gani na Nondo? LHRC ina uhusiono gani na TGNP ya Nondo? Wakili wa Nondo anatokea wapi ? Huyu mama ni wa kumuweka karibu, anatumika.
Samahani kukuuliza hili swali..

Una elimu gani mkuu??
 

Pascal,
Kwa hali hii tunavoenda huko mbeleni itakuwa ni majanga wallah....!!
Abdul, Nondo ni kijana mwanafunzi mwaka 3 UDSM lakini kwa Serikali imeamua kumshiikilia kana kwamba ni Jambazi. Mhaini au Kibaka fulani pasi na sababu za msingi....!!Huu ni ujinga na pumbafu wa Jeshi la Polisi na hawa Viongozi wa CCM...!!
Nimemskia Mwigulu Nchemba akiongea na Wanachuo wa Vyuo Vikuu akimnanga kijana Abdul Nondo...!!Ati kwamba Nondo aliposema Waziri wa Mambo ya Ndani yeye Nchemba alifikiri ati alimmanisha Waziri wa Serikali ya Wanafunzi....Nonsense...!!
Huyu jamaa kwa sasa anajiita ati Dokta lakini ukweli ni kuwa kichwani kwake kumejaa kamasi na siyo ubongo.....!!
Yaani Waziri mzima unaongea pumba mbele ya Wasomi ukimshambulia tena Mwanachuo mwenzao kuwa ATI KUKOSOA SERIKALI YA MAGUFULI NI USALITI...Kweii???? Huyu Nyaturu man hajielewi perce.
 

Mungu apishie mbali maana sijuhi watakuja na utetezi gani this time kama yakitokea hayo, na kibaya zaidi ni Mjuavyo Nondo akitoka hata acha kusema labda wamakate ulimi(najua ataandika)
 

CC: Mwigulu Nchemba
Ina kuhusu!
 
Hizi ni moja kati ya idara ambazo zimetendewa haki kwa watu walioko hapo. Yaani inaonyesha ni jinsi gani walivyo na weledi na kazi yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…