nyota ya mnyika yaendelea kupamnda kila kukicha 03/10/2010 pale ubungo walipo kusanyika vijana zaidi ya miambili na kujitolea kuwa wtakuwa mawakala wake na hizo ni kura zake moja kwa moja jumlisha na wale marafiki wawanafunzi wa shule nyingine, kila mwanafunzi pale akiuwa akionyesha matumain na mnyika kwenye jimbo hilo lililotelekezwa na CCM miaka nendarudi ..... kila mwanafunzi alisikika akisema huu ni muda wa mabadiliko so people tupo tayari kupokea kiongozu makini kwaajili ya ubungo bora nba sibora kiongozi mnyika , slaa tunawaamini tunawahitaji kuratutawapa........... mnyika ndiyo mbunge wetu slaa ndiyo rais wetu.......