mt.j
JF-Expert Member
- Dec 10, 2014
- 284
- 277
Mwaka 2013 nikiwa nimepitka hali ngumu baada y kumaliza chuo niko nyumbani tu , niliamua kwenda tanga kufanya kaz ndogo ndogo ili nipate mtaji ,niliwaza kwenda kulimia watu mashamba na kufyeka ,nilipanga kutumia usafir wa roli kutok mwanza Dom, then dodom tanga , nilipo fika Dom nilikuwa n kias kidogo sana niliunga unga hadi kufikia gairo,hap gairo nilipata lift ya bure hadi moro, morogoro nilisaidiw n fuso hadi chalinz fuso hii ilibeba miwa, nilifka chalinz usik mida ya SAA 5 nikiwa na elfu mbili tu nikala mandaz na mawiza fresh ,usiku SAA kumi nilianza safari niitafut muheza ,aisee nilitembea sana bila kupata msaada wowote, mida ya SAA 1 kuelelea saa2 nikiwa nimechoka sana ilikuja basi zuri sana likapaki mbele yangu kisha akashuka konda akiwa na kitu kama chuma akawa anagongagonga tairi kupima upepo nikajihis nieleze ukwl kuwa nimekwama naenda tanga, konda alishangaa sana akamweleza dreva akaniruhusu kuingia, hapa nilikuwa na panda basi moja zuri sana modern coach dar to? Nilikuta kwenye basi kuna siti moja tu imebaki inanisubiri kwa hal niliy kuwa nayo niliona nimependelewa sana , gari lilitembea mwendo mrefu sana n tukafika segera walinishusha na nilipewa elfu 30 na konda ikanisaidie, hiki kitu nakikumbuka na kimenifanya niwe na roho ya kusaidia sana ukwel nikiwa long safar kwa SSA huwa siwapiti watu ninao hisi wanaelekea muelekeo wangu , nimekuwa nikijitahid sana kumwona Huyo konda na dreva wake ili sijafanikiwa kuwarudishia fadhila watu hao ila nawaombea kwa mungu mafanikio
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app