Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

Hiki Kisa kilitokea Singida miaka 99 au 2000 kwa Mshkaji wangu, Huyu jamaa wakati akienda kwenye shughuli zake alimuona mtoto wa miaka kama 8 akitembea barabarani, akasimama na kumuuliza we dogo unaenda wapi? Maana aliona kama amepotea, dogo akasema anaenda singida kijijini, jamaa kusikia hivyo akajua huyo dogo ni mgeni Singida. Akamuuliza unatoka wapi akasema ametoka Dar. Mshkaji akamwambia Panda gari, Kwenye mazungumzo jamaa akagundua kuwa huyo dogo ameachwa stendi ya Bus na mzazi wake, na sababu kuu ni kuwa mama wa kambo alikua hamtaki huyo mtoto,Jamaa akamwambia dogo kama wao hawakutaki basi utaishi na mimi kama mtoto wangu. Huyu mshakaji alimchukua huyo dogo na kumpeleka kwake(jamaa alikua na Uwezo) Dogo alishi hapo , mahitaji yote alipewa kama watoto wengine wa hiyo nyumba, mwisho alipelekwa mwanza kusoma na kuishi na wazazi wa huyo mshkaji. Kwa ujumla huyo dogo aliishi na hiyo familia kwa takriban miaka kumi, hii familia ni waarabu na dogo alikua ni mkristo lakini walimchukulia kama mtoto wao na wala hawakutaka kumsilimisha. Dogo alivyo kua akaona maisha ya nidhamu, shule hayawezi akaamua kutimua zake. Hii familia mpaka leo ina masikitiko maana wameona kama mtoto wao amepotea, Huyo mshkaji sitakuja kumsahau maishani mwangu.
 
This thread touches my heart.

Some few years back... kwa life la manati, nikawa nimehitimu O level. Matokeo yakatoka, nikachaguliwa kujoin A level kwenye shule fulani iliyopo pale Tabora mjini.

Tarehe ya kuripoti skonga ikafika. Ramani bado haijakaa mkao. Unga unga hapa na pale, nikapata nauli tu. Ada bado channel hazisomi. Nikakata shauri kuwa niende tu shule, ada itafuata.

Siku ya safari ikawadia. Saa 10 alfajiri nipo hewani, jicho kodoo... siku hiyo hata sikupata usingizi, shauku ya kusafiri na kwenda kuanza maisha ya 'boding' ilitawala mtima wangu na Wizara yangu ya kichwa.

11:30 sharp nipo stendi. Nina nauli tu mfukoni. Saa 8 alasiri tukashuka makao makuu ya Nchi na chama... Dodoma! Nina njaa na kiu si ya nchi hii. Nikanunua maji ndogo Uhai nikatuliza koo. Fasta nikaulizia gari la kwenda Tabora.... nikaoneshwa zilipo. Nikajongea pale, mbele yangu naziona Bus kadhaa zikiita abiria. Zikanivutia bus mbili... moja ni NBS Bus nyuma imeandikwa 'Tabora Kwetu'. Nyingine nyuma imeandikwa 'Mboka Manyema'.

I boarded the NBS Bus 'Tabora Kwetu'. Hapa ndiyo kuna mtu baki (a stranger) ambaye huwa sisahau wema wake.

Safari ikaanza. Nimekaa pembeni ya mdada, ni mchangamfu. Mtu wa Urambo. Kufika porini maeneo ya Singida, around saa 2 hivi usiku, bus likaharibika! Aisee nina njaa ya hatari sana muda huo. Nikashuka chini kwenda nje kupunga upepo, almost abiria wote wameshuka chini na story za hapa na pale, Suka & kondakta wanaendelea kurekebisha gari huku wakipakwa mbovu na abiria. Kufika pale chini, kumbe yule mdada ameshahisi nina njaa. Naye akashuka na kuja pale nilipo, akaniuliza "vipi husikii baridi hapa nje? hujabeba hata sweta"? Nikamjibu usijali dada, ni tumbo tu ndiyo nasikia linauma. Aisee yule mdada akapanda kwenye gari na kurudi chini akiwa amebeba kihotpot kidogo, na maji ya chupa. Akaniambia tukae chini tule. Ilikuwa ni kuku wa kukaanga, tamu to the fullest! Daah this lady touched my heart kwakweli.

Saa 7 usiku hivi ndiyo tunaingia stendi ya Tabora mjini. Tukashuka pale, nikamshukuru sana na nikamuuliza shule fulani ipo maeneo gani? Akanijibu ilipo ila akashauri ni risk kwenda usiku, na hakuna wa kunipokea muda huo pale shuleni. Akasema yeye safari yake bado, anaenda urambo, ila kwa usiku huo hakuna usafiri, so analala hapo town. Mie nikaanza kama kusisitiza tu niende shule nikapokelewe hata na mlinzi, the point is sikuwa na hela ya kulala guest. Nakumbuka yule mdada akafungua mkoba wake akanipa Tsh elfu 5, akanambia shuleni sio mbali ila kwavile ni mida mibovu nichukue taxi. Tukaagana pale, nikasema 'Ahsante' nyingi sana zenye adabu ilotukuka. Sikuwaza hata kumuomba namba ya simu coz sikuwa na simu. Akaita taxi, nikamsaidia kupandisha mizigo yake, akateleza!

Nami nikaita taxi. Nikaanza kusaundisha as if ni mwenyeji napoenda. Hapo nishaipigia mahesabu hiyo buku 5 kwamba niamke nayo asubuhi kuanza maisha mapya at skonga. Dereva taxi akataka buku 3, nikasema baridi, twen'zetu. Tukala mguu wa kuku, haooo kuelekea skonga. Hapo ni usiku mkubwa mida ya wanga! Kweli nilipokelewa na mlizi, tukaenda dormitory akanipa kitanda kimoja kilichokuwa wazi nikauchapa. Asubuhi kumekucha nina buku mbili mfukoni, freeesh. Saa nne asubuhi mara nasikia kengele kuuubwa linagongwa, nauliza ni nini, naambiwa ni mida ya uji. Wadau mbio mbio na vikombe/bakuli/visado mkononi. Nami nikaunga tela, hakuna kushangaa. Nafika kwenye foleni nasikia sauti kavu ya Mwalimu wa zamu: "Kwa wale wa form five... kama bado hujawa registered, haruhusiwi kupata uji wala kula chakula cha shule. Usijisumbue kukaa foleni, nishagawa kadi (koponi). Afu form five wote mlojisajiri leo, baada ya kunywa uji muende kufuata kuni, gari (tiper Jiefang) lipo pale Administration Block linawasubiri.. " nikajisemea moyoni duuh ama kweli maisha ya boarding noma, mtoto wa mama bora usome day Bongo DarSlum. Basi nikaenda canteen, ile buku mbili ilosalia ikasimamia shoo na kunilinda siku hiyo.

Maisha yakaendelea pale skonga. Mwaka ukapita. Nikaingia form Six. Siku moja mida ya mchana nipo na washkaji chini ya kivuli cha mti tunapata lunch... kitu dona, harage tatu mchuzi kisado! Nakumbuka was weekend. Mara gafla nasikia naitwa kuwa kuna mgeni wangu. Nanyanyuka na bakuli langu la ugali kuelekea kwenye guests guarden, namuona yule mdada wa kwenye safari. Daaamn, sikuamini macho yangu. Kashikilia kiparcel chenye machungwa na ndizi, na mche wa sabuni. Seriously kuna machozi ya furaha yakaanza kunilengalenga machoni mwangu. Sikuamini kabisa if I was still in her mind. I was so deeply touched, sio kwa vile kaniletea mazagazaga, ni kwa vile she still remembers me after a year to perish since our encounter. Kumbe siku ilee kwenye bus wakati namtajia jina langu na combi nilochaguliwa alinote.

Baada tu ya kusalimiana, nakumbuka kauli yake: "umepungua mdogo wangu, ila vumilia tu na kazana kusoma, ndiyo maisha. Naamini hapa shule unajifunza mengi". Tukaongea mengi na kuchukua namba yake, by that time tayari nishapata simu.

Tangia siku hiyo till todate hatujaonana tena na huyu mpendwa.

Towards completion of my A level, nilimualika na kumuomba aje kwenye gradu yangu japo aniveshe ua na tupige picha za ukumbusho. She cordially confirmed to attend the event. But too sad, closer to gradu day she informed me that hataweza kuhudhuria coz she had undergone miscarriage. She was not okay. Daaah. Eventually nikafunga dirisha la Elimu yangu mjini Tabora. I left Mboka.

Days months years have passed sina mawasiliano na huyu dada mpendwa. Namba yake haipatikani nearly two years now. I don't know, I don't have a clue what happened to this samaritan lady.

Dada angu wa hiari Farida, much love to you out there wherever you might be. You were a total stranger who turned being my best friend & sister. You are sincerely appreciated. You were the first & only person to visit me as ndugu at the school. Your warm kindness embedded in my mind & heart always always always. Popote ulipo nakuombea kwa Mola akuongezee nuru na kukulinda na akuzidishie riziki.

Mdogo wako nipo DarSlum kwa sasa, kicking and hustling. Bado 'sijatusua', still at the scratch. Ila have put it down in my diary kwamba siku Mwenyezi Mungu akinifanyia wepesi, I will come back to Tabora for you dada Farida, just to give hug and tangible thanking.

This world is sick, but watu wema bado wapo jamani. I learnt!

God bless the Woman.

# unconditional love #

-Kaveli-
very touching mkuu, nahisi hapo ni milambo bila shaka
 
Sitamsahau kaka Fulani nilikutana nae Arusha pale mianzini wakati nasoma chuo,,nlikua naeleke hospitali ile ya ENT ipo tanki la maji,nikasimama katika bar ile barabarani nile nlikua na njaa..
Nkakaa meza moja na mkaka hvi simjui,chakula kilivokuja nkamwambia waiter aisee chps zenu ndogo bora ningekula ndizi,yule kaka baada ya mda baada ya kuniskia nalalamika akamwita waiter akamwambia aniletew "rosti" aniongezee na chps...akaniuliza nlipokua naelekea,akampgia simu rafiki yake daktari nikaongea nae akanielekeza hospitali aliopo..bill ilivokuja akanilipa chakula na vinywaji jumla 18,000/=..(bill hii kwa kipindi nasoma chuo ni kubwa mno)
Baadae akaniaga akaondoka,,,hakuniomba namba ya simu wala kuniuliza jina...nlimshangaa ila alinisaidia maana nlikua na njaa na budget ilikua ef 5000 tu..

Namuombea kwa Mungu amfungulie milango ya rizki yule kaka..!!
Kuna watu wana mioyo ya ajabu sana,nataman nimuone tena ila ndo siwezi mkumbuka kabisa,ila natumai dua zangu zinamfikia.
Vipi ukimuona unaweza kumpa Tunu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This thread touches my heart.

Some few years back... kwa life la manati, nikawa nimehitimu O level. Matokeo yakatoka, nikachaguliwa kujoin A level kwenye shule fulani iliyopo pale Tabora mjini.

Tarehe ya kuripoti skonga ikafika. Ramani bado haijakaa mkao. Unga unga hapa na pale, nikapata nauli tu. Ada bado channel hazisomi. Nikakata shauri kuwa niende tu shule, ada itafuata.

Siku ya safari ikawadia. Saa 10 alfajiri nipo hewani, jicho kodoo... siku hiyo hata sikupata usingizi, shauku ya kusafiri na kwenda kuanza maisha ya 'boding' ilitawala mtima wangu na Wizara yangu ya kichwa.

11:30 sharp nipo stendi. Nina nauli tu mfukoni. Saa 8 alasiri tukashuka makao makuu ya Nchi na chama... Dodoma! Nina njaa na kiu si ya nchi hii. Nikanunua maji ndogo Uhai nikatuliza koo. Fasta nikaulizia gari la kwenda Tabora.... nikaoneshwa zilipo. Nikajongea pale, mbele yangu naziona Bus kadhaa zikiita abiria. Zikanivutia bus mbili... moja ni NBS Bus nyuma imeandikwa 'Tabora Kwetu'. Nyingine nyuma imeandikwa 'Mboka Manyema'.

I boarded the NBS Bus 'Tabora Kwetu'. Hapa ndiyo kuna mtu baki (a stranger) ambaye huwa sisahau wema wake.

Safari ikaanza. Nimekaa pembeni ya mdada, ni mchangamfu. Mtu wa Urambo. Kufika porini maeneo ya Singida, around saa 2 hivi usiku, bus likaharibika! Aisee nina njaa ya hatari sana muda huo. Nikashuka chini kwenda nje kupunga upepo, almost abiria wote wameshuka chini na story za hapa na pale, Suka & kondakta wanaendelea kurekebisha gari huku wakipakwa mbovu na abiria. Kufika pale chini, kumbe yule mdada ameshahisi nina njaa. Naye akashuka na kuja pale nilipo, akaniuliza "vipi husikii baridi hapa nje? hujabeba hata sweta"? Nikamjibu usijali dada, ni tumbo tu ndiyo nasikia linauma. Aisee yule mdada akapanda kwenye gari na kurudi chini akiwa amebeba kihotpot kidogo, na maji ya chupa. Akaniambia tukae chini tule. Ilikuwa ni kuku wa kukaanga, tamu to the fullest! Daah this lady touched my heart kwakweli.

Saa 7 usiku hivi ndiyo tunaingia stendi ya Tabora mjini. Tukashuka pale, nikamshukuru sana na nikamuuliza shule fulani ipo maeneo gani? Akanijibu ilipo ila akashauri ni risk kwenda usiku, na hakuna wa kunipokea muda huo pale shuleni. Akasema yeye safari yake bado, anaenda urambo, ila kwa usiku huo hakuna usafiri, so analala hapo town. Mie nikaanza kama kusisitiza tu niende shule nikapokelewe hata na mlinzi, the point is sikuwa na hela ya kulala guest. Nakumbuka yule mdada akafungua mkoba wake akanipa Tsh elfu 5, akanambia shuleni sio mbali ila kwavile ni mida mibovu nichukue taxi. Tukaagana pale, nikasema 'Ahsante' nyingi sana zenye adabu ilotukuka. Sikuwaza hata kumuomba namba ya simu coz sikuwa na simu. Akaita taxi, nikamsaidia kupandisha mizigo yake, akateleza!

Nami nikaita taxi. Nikaanza kusaundisha as if ni mwenyeji napoenda. Hapo nishaipigia mahesabu hiyo buku 5 kwamba niamke nayo asubuhi kuanza maisha mapya at skonga. Dereva taxi akataka buku 3, nikasema baridi, twen'zetu. Tukala mguu wa kuku, haooo kuelekea skonga. Hapo ni usiku mkubwa mida ya wanga! Kweli nilipokelewa na mlizi, tukaenda dormitory akanipa kitanda kimoja kilichokuwa wazi nikauchapa. Asubuhi kumekucha nina buku mbili mfukoni, freeesh. Saa nne asubuhi mara nasikia kengele kuuubwa linagongwa, nauliza ni nini, naambiwa ni mida ya uji. Wadau mbio mbio na vikombe/bakuli/visado mkononi. Nami nikaunga tela, hakuna kushangaa. Nafika kwenye foleni nasikia sauti kavu ya Mwalimu wa zamu: "Kwa wale wa form five... kama bado hujawa registered, haruhusiwi kupata uji wala kula chakula cha shule. Usijisumbue kukaa foleni, nishagawa kadi (koponi). Afu form five wote mlojisajiri leo, baada ya kunywa uji muende kufuata kuni, gari (tiper Jiefang) lipo pale Administration Block linawasubiri.. " nikajisemea moyoni duuh ama kweli maisha ya boarding noma, mtoto wa mama bora usome day Bongo DarSlum. Basi nikaenda canteen, ile buku mbili ilosalia ikasimamia shoo na kunilinda siku hiyo.

Maisha yakaendelea pale skonga. Mwaka ukapita. Nikaingia form Six. Siku moja mida ya mchana nipo na washkaji chini ya kivuli cha mti tunapata lunch... kitu dona, harage tatu mchuzi kisado! Nakumbuka was weekend. Mara gafla nasikia naitwa kuwa kuna mgeni wangu. Nanyanyuka na bakuli langu la ugali kuelekea kwenye guests guarden, namuona yule mdada wa kwenye safari. Daaamn, sikuamini macho yangu. Kashikilia kiparcel chenye machungwa na ndizi, na mche wa sabuni. Seriously kuna machozi ya furaha yakaanza kunilengalenga machoni mwangu. Sikuamini kabisa if I was still in her mind. I was so deeply touched, sio kwa vile kaniletea mazagazaga, ni kwa vile she still remembers me after a year to perish since our encounter. Kumbe siku ilee kwenye bus wakati namtajia jina langu na combi nilochaguliwa alinote.

Baada tu ya kusalimiana, nakumbuka kauli yake: "umepungua mdogo wangu, ila vumilia tu na kazana kusoma, ndiyo maisha. Naamini hapa shule unajifunza mengi". Tukaongea mengi na kuchukua namba yake, by that time tayari nishapata simu.

Tangia siku hiyo till todate hatujaonana tena na huyu mpendwa.

Towards completion of my A level, nilimualika na kumuomba aje kwenye gradu yangu japo aniveshe ua na tupige picha za ukumbusho. She cordially confirmed to attend the event. But too sad, closer to gradu day she informed me that hataweza kuhudhuria coz she had undergone miscarriage. She was not okay. Daaah. Eventually nikafunga dirisha la Elimu yangu mjini Tabora. I left Mboka.

Days months years have passed sina mawasiliano na huyu dada mpendwa. Namba yake haipatikani nearly two years now. I don't know, I don't have a clue what happened to this samaritan lady.

Dada angu wa hiari Farida, much love to you out there wherever you might be. You were a total stranger who turned being my best friend & sister. You are sincerely appreciated. You were the first & only person to visit me as ndugu at the school. Your warm kindness embedded in my mind & heart always always always. Popote ulipo nakuombea kwa Mola akuongezee nuru na kukulinda na akuzidishie riziki.

Mdogo wako nipo DarSlum kwa sasa, kicking and hustling. Bado 'sijatusua', still at the scratch. Ila have put it down in my diary kwamba siku Mwenyezi Mungu akinifanyia wepesi, I will come back to Tabora for you dada Farida, just to give hug and tangible thanking.

This world is sick, but watu wema bado wapo jamani. I learnt!

God bless the Woman.

# unconditional love #

-Kaveli-
elimika jenga taifa
 
Nakumbuka 8 years back niliharibikiwa na Gari sehemu za Mwasonga na nikawa nimeishajua suluhisho lake kilichonifurahisha ambacho mpaka leo hii nakikumbuka jamaa wengi walikuwa wakipita na magari yao wakinitimulia vumbi
Lakini kuna jamaa mmoja hata simjui alisimamisha gari yake akaja akanambia " POLE SANA BROTHER KUNA CHOCHOTE NAWEZA KUKUSAIDIA'" nilimshukuru saana na kumtaarifu kwamba nimeishapata solution
Huyu hakunisaidi lakini azma yake ya kunisaidia ilifanya nisimsahau
Na ameniambukiza tabia hiyo kila nionapo mtu amekwama barabarani husimamisha gari na kuangalia uwezekano wa kumsaidi
Virtues attract other virtues, while Vices too attract others
 
Nakumbuka mwaka huu mwezi Feb, nilikuwa nautafuta mtaa wa Arusha kule Ilala.
Nilipanda gari na kushukia sehemu siyo.
Nilizunguka karibu nusu saa sioni njia.
Basi nikawa naserereka huko mabondeni sijui wapi.
Bahati wakati nimeshakata tamaa, akatokea kaka mmoja akaniuliza mbona kama ninaongea peke yangu.
Ikabidi nimueleze ukweli kuwa nahisi nimepotea, nautafuta mtaa wa Arusha.
Akaniambia huku umepotea, huku unaelekea relini, Karume.
Akaniambia atanisaidia.
Basi alinitembeza mpaka tunafika mtaa wa Arusha niko hoi.
Ila nafika mtaa wa Arusha tu, nikapaona pale nilipoambiwa nikachukue mzigo.
Tulirudi nyuma karibu lisa lizima.
Yule kaka nilimshukuru sana...wakati anaondoka tukaagana, akakata kona ya kwanza, roho ikaniuma sana nikasema sijampa hata pesa ya asante.
Basi nikakata kona kumfuata....sikumuona teeeena.
Baada ya siku 3 nikaenda pale aliponiona baada ya kupotea.
Nilipiga roure kama mara 7 sikumuona tena.
Mpaka leo najiuliza ni mtu wa aina gani yule?
Kuacha safari zake kwa ajili yangu?

Kama unanisikia, please naomba uje pm au kama kuna mtu ulimuhadithia, please ndio mimi.
Nilivaa skin tight ya kijivu na tisheti ya kijivu imeandikwa Jf...Jamii forum ni mdada mnene hivi.
Ulikuwa umevaa tisheti nyeusi na kaptula fupi ya jeans na sendlos nyekundu.

Nitashukuru kukupata ili nirudishe angalau nusu ya hisani yako.

Huyo mkaka akija pm kwa mfano, utampa tigo au Madame B
 
Ndo shida ya watoto wa Dar es Salaam,ndio maana makobdakta huwapotezea,daily wanapoteza?No.
Wanafunzi wa MLIMANI PRIMARY UDSM wao ndo zao kuombaomba kwenye viunga vya chuo,hii nayo kitabia si nzuri

watoto wengine wa dar hudai kuwa wana njaa, hawana hela ya msosi, cjui ni kweli au wanakuwa wametumwa na wa2 SDG
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi nilikuwa na hamu ya kunywa na sina hela Mara mtu akakosea M-PESA aisee nilikunywa mpaka kidogo nizimie namshukuru aliyekosea maana simjui
 
Sitamsahau kaka Fulani nilikutana nae Arusha pale mianzini wakati nasoma chuo,,nlikua naeleke hospitali ile ya ENT ipo tanki la maji,nikasimama katika bar ile barabarani nile nlikua na njaa..
Nkakaa meza moja na mkaka hvi simjui,chakula kilivokuja nkamwambia waiter aisee chps zenu ndogo bora ningekula ndizi,yule kaka baada ya mda baada ya kuniskia nalalamika akamwita waiter akamwambia aniletew "rosti" aniongezee na chps...akaniuliza nlipokua naelekea,akampgia simu rafiki yake daktari nikaongea nae akanielekeza hospitali aliopo..bill ilivokuja akanilipa chakula na vinywaji jumla 18,000/=..(bill hii kwa kipindi nasoma chuo ni kubwa mno)
Baadae akaniaga akaondoka,,,hakuniomba namba ya simu wala kuniuliza jina...nlimshangaa ila alinisaidia maana nlikua na njaa na budget ilikua ef 5000 tu..

Namuombea kwa Mungu amfungulie milango ya rizki yule kaka..!!
Kuna watu wana mioyo ya ajabu sana,nataman nimuone tena ila ndo siwezi mkumbuka kabisa,ila natumai dua zangu zinamfikia.
Huyo kaka ndio mimi thatha.
 
kwa kweli mie sijawahi saidiwa zaidi ya ndugu na wazazi wangu, ila mie nilishawahi saidia wengi tu na hata siwajui na wala sina mahusiano nao,
 
Hivi hapa ndio mwisho wako wa ukomo wa kufikiri?
Unadhani kila saa tunawaza kufirw.a na kufir.a?
Kuna mambo kibao ya kufanya.....sio kuwaza kutombaana kaka sawa eeeee
Mkkundu wangu uko kwa ajili ya kunyya na kujamba tu.
Usiku mwema.

Hahaa sio kwa dongo hilo, am just little bit obsessed with kufir.a Madame B
 
Aprili 2008, Maputo Msumbiji
Kuna hoteli inaitwa Rovuma ipo katikati ya jiji tulivamiwa usiku saa tisa tukaporwa kila kitu. Kuna dada mmoja raia wa Kenya aliposikia mimi ni mtz alinichukua kwake na nikaishi mwezi mzima na kila kitu alinisaidia. Nililia sana mwaka jana nilipopata smsn kutoka kwa mumewe kwamba kafariki kwa ajali akiwa Afrika Kusini. Alinichukulia kama kaka yake alisaidia sana, maana niliibiwa kila kitu hadi nguo. Mungu amlaze mahali pema.
Sad story.Pole
 
2010 Naenda Advance Songea Sina Ndugu. Nimekaa Kwenye Super Feo Na Mjamaa Anasoma Vitabu Tu. Hatujaongeleshana Mpaka Morogoro. Kufika Mikumi Tukaanza Kupiga Stori,You Know What!?
Songea ni watu wakarimu sana, umenikumbusha mbali, kisa chako kinataka kufanana na changu, ila mimi nilipanda Summry miaka ya nyuma zaidi yako, na nikachelewa zaidi ya hiyo maana sie tuliharibikiwa na Gari, tulifika saa 7 na ni mara ya kwanza, nikapata support kutoka kwa mtu ambaye kwakweli ukimuangalia muonekano, unaweza hisi atakuingiza kichochoroni akukabe maana ana kila sifa za kimuonekano za kuwa mkabaji, ila alinisaidia, nakaenda geto kwake, kesho yake asubuh nikaenda zangu Mbinga kikazi
 
Nilisaidiwa na mtu tunayejuana kwa kuonana tu njiani na kuulizana hali tu,ilikuwa hivi...kunasiku alipita sehemu ambayo mimi nilikuwa naongea na simu sasa akasikia maongezi yangu ,ilikuwa naongea na dada yangu yuko mbali alihitaji msaada wa haraka!
Baada ya kukata simu akaniambia hizo pesa zinazohitajika atanipa,nirejeshe nitapo zipata pole pole.
Baadae nikawa simuoni njiani,kuna siku nikaja sikia alifariki na hakuna anayejua kwao ni wapi!
Namshukuru mpaka kesho ila nasikitika sana kwamba kafa kabla sijamlipa.
Toa sadaka kwa kusaidia watu wasiojiweza hicho kiasi au hata nusu ya kiasi cha pesa.
 
This thread touches my heart.

Some few years back... kwa life la manati, nikawa nimehitimu O level. Matokeo yakatoka, nikachaguliwa kujoin A level kwenye shule fulani iliyopo pale Tabora mjini.

Tarehe ya kuripoti skonga ikafika. Ramani bado haijakaa mkao. Unga unga hapa na pale, nikapata nauli tu. Ada bado channel hazisomi. Nikakata shauri kuwa niende tu shule, ada itafuata.

Siku ya safari ikawadia. Saa 10 alfajiri nipo hewani, jicho kodoo... siku hiyo hata sikupata usingizi, shauku ya kusafiri na kwenda kuanza maisha ya 'boding' ilitawala mtima wangu na Wizara yangu ya kichwa.

11:30 sharp nipo stendi. Nina nauli tu mfukoni. Saa 8 alasiri tukashuka makao makuu ya Nchi na chama... Dodoma! Nina njaa na kiu si ya nchi hii. Nikanunua maji ndogo Uhai nikatuliza koo. Fasta nikaulizia gari la kwenda Tabora.... nikaoneshwa zilipo. Nikajongea pale, mbele yangu naziona Bus kadhaa zikiita abiria. Zikanivutia bus mbili... moja ni NBS Bus nyuma imeandikwa 'Tabora Kwetu'. Nyingine nyuma imeandikwa 'Mboka Manyema'.

I boarded the NBS Bus 'Tabora Kwetu'. Hapa ndiyo kuna mtu baki (a stranger) ambaye huwa sisahau wema wake.

Safari ikaanza. Nimekaa pembeni ya mdada, ni mchangamfu. Mtu wa Urambo. Kufika porini maeneo ya Singida, around saa 2 hivi usiku, bus likaharibika! Aisee nina njaa ya hatari sana muda huo. Nikashuka chini kwenda nje kupunga upepo, almost abiria wote wameshuka chini na story za hapa na pale, Suka & kondakta wanaendelea kurekebisha gari huku wakipakwa mbovu na abiria. Kufika pale chini, kumbe yule mdada ameshahisi nina njaa. Naye akashuka na kuja pale nilipo, akaniuliza "vipi husikii baridi hapa nje? hujabeba hata sweta"? Nikamjibu usijali dada, ni tumbo tu ndiyo nasikia linauma. Aisee yule mdada akapanda kwenye gari na kurudi chini akiwa amebeba kihotpot kidogo, na maji ya chupa. Akaniambia tukae chini tule. Ilikuwa ni kuku wa kukaanga, tamu to the fullest! Daah this lady touched my heart kwakweli.

Saa 7 usiku hivi ndiyo tunaingia stendi ya Tabora mjini. Tukashuka pale, nikamshukuru sana na nikamuuliza shule fulani ipo maeneo gani? Akanijibu ilipo ila akashauri ni risk kwenda usiku, na hakuna wa kunipokea muda huo pale shuleni. Akasema yeye safari yake bado, anaenda urambo, ila kwa usiku huo hakuna usafiri, so analala hapo town. Mie nikaanza kama kusisitiza tu niende shule nikapokelewe hata na mlinzi, the point is sikuwa na hela ya kulala guest. Nakumbuka yule mdada akafungua mkoba wake akanipa Tsh elfu 5, akanambia shuleni sio mbali ila kwavile ni mida mibovu nichukue taxi. Tukaagana pale, nikasema 'Ahsante' nyingi sana zenye adabu ilotukuka. Sikuwaza hata kumuomba namba ya simu coz sikuwa na simu. Akaita taxi, nikamsaidia kupandisha mizigo yake, akateleza!

Nami nikaita taxi. Nikaanza kusaundisha as if ni mwenyeji napoenda. Hapo nishaipigia mahesabu hiyo buku 5 kwamba niamke nayo asubuhi kuanza maisha mapya at skonga. Dereva taxi akataka buku 3, nikasema baridi, twen'zetu. Tukala mguu wa kuku, haooo kuelekea skonga. Hapo ni usiku mkubwa mida ya wanga! Kweli nilipokelewa na mlizi, tukaenda dormitory akanipa kitanda kimoja kilichokuwa wazi nikauchapa. Asubuhi kumekucha nina buku mbili mfukoni, freeesh. Saa nne asubuhi mara nasikia kengele kuuubwa linagongwa, nauliza ni nini, naambiwa ni mida ya uji. Wadau mbio mbio na vikombe/bakuli/visado mkononi. Nami nikaunga tela, hakuna kushangaa. Nafika kwenye foleni nasikia sauti kavu ya Mwalimu wa zamu: "Kwa wale wa form five... kama bado hujawa registered, haruhusiwi kupata uji wala kula chakula cha shule. Usijisumbue kukaa foleni, nishagawa kadi (koponi). Afu form five wote mlojisajiri leo, baada ya kunywa uji muende kufuata kuni, gari (tiper Jiefang) lipo pale Administration Block linawasubiri.. " nikajisemea moyoni duuh ama kweli maisha ya boarding noma, mtoto wa mama bora usome day Bongo DarSlum. Basi nikaenda canteen, ile buku mbili ilosalia ikasimamia shoo na kunilinda siku hiyo.

Maisha yakaendelea pale skonga. Mwaka ukapita. Nikaingia form Six. Siku moja mida ya mchana nipo na washkaji chini ya kivuli cha mti tunapata lunch... kitu dona, harage tatu mchuzi kisado! Nakumbuka was weekend. Mara gafla nasikia naitwa kuwa kuna mgeni wangu. Nanyanyuka na bakuli langu la ugali kuelekea kwenye guests guarden, namuona yule mdada wa kwenye safari. Daaamn, sikuamini macho yangu. Kashikilia kiparcel chenye machungwa na ndizi, na mche wa sabuni. Seriously kuna machozi ya furaha yakaanza kunilengalenga machoni mwangu. Sikuamini kabisa if I was still in her mind. I was so deeply touched, sio kwa vile kaniletea mazagazaga, ni kwa vile she still remembers me after a year to perish since our encounter. Kumbe siku ilee kwenye bus wakati namtajia jina langu na combi nilochaguliwa alinote.

Baada tu ya kusalimiana, nakumbuka kauli yake: "umepungua mdogo wangu, ila vumilia tu na kazana kusoma, ndiyo maisha. Naamini hapa shule unajifunza mengi". Tukaongea mengi na kuchukua namba yake, by that time tayari nishapata simu.

Tangia siku hiyo till todate hatujaonana tena na huyu mpendwa.

Towards completion of my A level, nilimualika na kumuomba aje kwenye gradu yangu japo aniveshe ua na tupige picha za ukumbusho. She cordially confirmed to attend the event. But too sad, closer to gradu day she informed me that hataweza kuhudhuria coz she had undergone miscarriage. She was not okay. Daaah. Eventually nikafunga dirisha la Elimu yangu mjini Tabora. I left Mboka.

Days months years have passed sina mawasiliano na huyu dada mpendwa. Namba yake haipatikani nearly two years now. I don't know, I don't have a clue what happened to this samaritan lady.

Dada angu wa hiari Farida, much love to you out there wherever you might be. You were a total stranger who turned being my best friend & sister. You are sincerely appreciated. You were the first & only person to visit me as ndugu at the school. Your warm kindness embedded in my mind & heart always always always. Popote ulipo nakuombea kwa Mola akuongezee nuru na kukulinda na akuzidishie riziki.

Mdogo wako nipo DarSlum kwa sasa, kicking and hustling. Bado 'sijatusua', still at the scratch. Ila have put it down in my diary kwamba siku Mwenyezi Mungu akinifanyia wepesi, I will come back to Tabora for you dada Farida, just to give hug and tangible thanking.

This world is sick, but watu wema bado wapo jamani. I learnt!

God bless the Woman.

# unconditional love #

-Kaveli-
Since day one nasoma mwandiko wako kwenye uzi wa "maoni ushauri kwa wanataka kuishi mbele" nikatokea kukukubalisana mwamba,,huwa sikati tamaa nikikukumbuka mzee baba
Hata jina lanhu la jf nilichukuwa kutoka kwenye quote yako "bongo nyoso bongo mufilisi" nakukubal mwamba .....Zangu dua to win maisha baba
 
Since day one nasoma mwandiko wako kwenye uzi wa "maoni ushauri kwa wanataka kuishi mbele" nikatokea kukukubalisana mwamba,,huwa sikati tamaa nikikukumbuka mzee baba
Hata jina lanhu la jf nilichukuwa kutoka kwenye quote yako "bongo nyoso bongo mufilisi" nakukubal mwamba .....Zangu dua to win maisha baba

Peace n' respect to you Mkuu. Nimefurahi sana hii comment yako mwamba.

Tuendeleze harakati... ni marufuku kukata tamaa chini ya jua. Zetu dua ...

-Kaveli-
 
63 Reactions
Reply
Back
Top Bottom