najua tunachat ila naomba uzingatie nilicho kuambia.Usichukulie maisha serious mdogo wangu...tuko hapa kuchat😃😃😃😃
njo pm xhNimeolewa lakini sio kivileee😊😊
Unateseka ukiwa wapi😂😂😂😂...kunywa maji baridi😃😃najua tunachat ila naomba uzingatie nilicho kuambia.
wee unatakiwa uwakubalie vijana wanaokutongoza hao ndio watakuoa japo vitu unavyo tamañi hawana Bado ila jua hata hao wazee unaodat Nao hivyo vitu wamevipata nafamilia zao tayali
Kwani hii ni moja ya indicator ya mahusiano yasiyo sahihi?Kwa wale mlio kwenye mahusiano yasio sahihi kwa sababu zozote zile labda umbali
vijana wanakuchumbia Kila siku.kwani unamtaka MTU waaina Gani?Tatizo bado sijapata mtu serious wa kupendana naye...nikimpata tu nasepa zangu shwaaaa😂😂
mbona unaita ita watu sana pm kuna nn kwaninjo pm xh
wala siteseki niña wake wahalali 3 labda nimalizie nawewe unae zagaa zagaa kama mira wakona🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭Unateseka ukiwa wapi😂😂😂😂...kunywa maji baridi😃😃
😂😂😂mbona unaita ita watu sana pm kuna nn kwani
Sina shida na mahusiano mimi😃😂😂😂🙌wala siteseki niña wake wahalali 3 labda nimalizie nawewe unae zagaa zagaa kama mira wakona🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Usicheke utakosa baraka za kaka wa jf hapa.😅Ameeen! 😂
Kwanini utamani na ushasema ni gari ya serikali? 😃😃Nisije nikamuacha halafu nikatamani kurudi weee😂😂😂
niña miaka 37 Niko kwenye ndoa na wake 3 niña maisha Safi yakulisha na kutunza hata warembo mía.Hilo ndo swali sasa....taja sifa zako nione kama nafit🙃🙃
Tatizo naweza kupata mtu halafu hayuko serious inakua ndo yaleyale...bora nibaki kwanza niendelee kukua kua kidogo 😃😃😂Kwanini utamani na ushasema ni gari ya serikali? 😃😃
Asa kama hivyo si bora nibaki nilipo niendelee kumsubiri wangu🤗🤗niña miaka 37 Niko kwenye ndoa na wake 3 niña maisha Safi yakulisha na kutunza hata warembo mía.
SEMA dini yangu inaruhusu wake wanne tuu karibu ufunge ukurasa bibie.
huyó mume wamtu kwani amenizidi umri namafanikio?Asa kama hivyo si bora nibaki nilipo niendelee kumsubiri wangu🤗🤗