LETO(Learn, engage teach, organize) ask me anything

LETO(Learn, engage teach, organize) ask me anything

God is Dead

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2019
Posts
1,313
Reaction score
1,529
Baada ya kujitunuku shahada ya uzamivu, ni muda Sasa wa kuhakikisha ninatumia elimu yangu katika kuhakikisha ninawanufaisha wanyama wa hili pori, ambapo ndio asili ya mnyama mtu baada ya kuzaliwa na dunia...

Mnyama mtu anasumbuliwa na maswali kadha wa kadha ambayo yamekuwa hayana majibu, na Mimi nitajitoa katika kuhakikisha ninamsaidia mnyama mtu katika hili, ili aweze kujipunguzia sifa ya ujinga...

Hivyo basi kama Kuna mnyama mtu mwenye swali lolote linalohusu Imani, historia, sayansi na lugha, wanayozungumza wanyama Kwa ujumla niseme nitakuwa mstari wa mbele katika kusaidia kujibu haya maswali magumu Kwa njia nyepesi inayoeleweka ..

God, Christ, human animal science, philosophy, psychology, philology etc...

Karibu mnyama mtu, ili tujipunguzie ujinga,

Lengo ni kuhakikisha mnyama mtu anaacha kuzika kichwa chake kwenye mchanga wa miungu na malaika Bali awe na kichwa Cha dunia, kichwa kitakachompa maana katika dunia, na aachane na maigizo ya kujificha kwenye mawingu...

Mfano

Mungu ni neno lenye maana gani?
Ni nani alisababisha neno Mungu likafa na kupoteza maana?


Let's create new values human animal, old values don't work anymore,

Ahsante
 
Kuna ugonjwa muda si mrefu utakuja na utaitwa "Mnemba wa akili!". na watu kama mweka mada ndo wameshaanza kuonyesha hizo dalili!.
 
Kuna ugonjwa muda si mrefu utakuja na utaitwa "Mnemba wa akili!". na watu kama mweka mada ndo wameshaanza kuonyesha hizo dalili!.
Thou shalt was the last dragon.
Unamfahamu tausi ndugu mchangiaji,
Usi-uki-uta,

Artificial intelligence nao ni ugonjwa, nilikuwa sifahamu,




Nature is immoral
 
Inasikitisha sana
Kwako mchangiaji, na wewe ni mmoja wa wale wanaovutiwa na kipepeo kuliko mende...every human animal problems lies within aesthetic...

Take note, man is sick
Njoo tutafute tiba ya mtu, punguza masikitiko
 
Kwako mchangiaji, na wewe ni mmoja wa wale wanaovutiwa na kipepeo kuliko mende...every human animal problems lies within aesthetic...

Take note, man is sick
Njoo tutafute tiba ya mtu, punguza masikitiko
Mm navutiwa na chura
 
Black holes ni nini? Kuna nini ndani yake? Je, Kuna white holes?
 
Basically a tool with intelligence but without consciousness at the moment.

Built as indendent mind, since body mind depends upon body with a lot of errors for functionality, so we can build an artificial mind that can accelerate the level of intelligence by not depending on our limited body.
 
Black holes ni nini? Kuna nini ndani yake? Je, Kuna white holes?
Ndani ya black hole kuna a very strong gravitational force inayopelekea kitu chochote kisiweze kutoka au kuingia humo; yaani vilivyomo haviwezi kutoka, na visivyokuwemo haviwezi kuingia
 
Okay well .

Unaweza kujua ni kwanini watu weusi wamekuwa na mchango mdogo Sana hapa duniani?.
 
Back
Top Bottom