fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,160
- 8,231
Naisubiri hii redio hapa Mwanza kwa hamu. Azam fanyeni hima muilete
Vipi anayeenda na redio shambani? Sio hivyo tu, mwanza "wasukuma" show show!!Sikiliza kwa kisimbuzi
Mwanza sio ya Wasukuma Pekee, na sio kila mkazi wa Mwanza ni msukumaVipi anayeenda na redio shambani? Sio hivyo tu, mwanza "wasukuma" show show!!
Ok ok, ila sidhani wote wanakaa ofisini au nyumbani kwenye tv ili kusikiliza vipindi vya redio.Mwanza sio ya Wasukuma Pekee, na sio kila mkazi wa Mwanza ni msukuma
Inanimalizia pesa,mie ni mstaafu pesa zangu ni za bajeti kali sanaSikiliza kwa kisimbuzi
Ni kweliOk ok, ila sidhani wote wanakaa ofisini au nyumbani kwenye tv ili kusikiliza vipindi vya redio.
Na ndo maana kaomba steshen kwenye redio.
Maana redio unaweza sikiliza popote, uwe umepanda baskeli, unasukuma mkokoteni, uwe shambani, n.k. Pia, hata kwenye simu unaweza skiza.
Mwanza haipo kwenye frekwensi za redio,ama uipate kwa utube,radio garden ila sipendeleiNenda kwenye radio channel mbona ipo
Kwanza huyo jamaa atambue kuwa kika mtu ana hobisi zake,ila redio ni muhimu sana kwangu mimi.Na ufm ina fika shinyanga ndio maana naiomba ije mwanzaMwanza sio ya Wasukuma Pekee, na sio kila mkazi wa Mwanza ni msukuma