chakochetu
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 108
- 35
Hakuna jambo ambalo linasumbua kama kushindwa kukubali ukweli na kurekebisha tatizo.!!
Sasa imekuwa ni suala linalosumbua jamii yetu,tukisema hapa Serikali ifanyie kazi kero mbalimbali utasikia majibu yasiyo na ufumbuzi wa tatizo eti "KAMA UNA USHAHIDI ULETE" tuufanyie kazi.
Ebu niambie neno hili kama siyo la kujihami na kukwepa kuwajibika :
[1].Mpenzi wako unasikia anafanya mapenzi na mtu mwingine na una uhakika,eti anakuambia neno hili NIPE USHAHIDI.[2].Tuna hakika viongozi wanahujumu uchumi unaambiwa eti ,kama una USHAHIDI ULETE tufanyie kazi.
[3].
[4].Kuna maofisa wa serikali wanashirikiana na wawekezaji katika kutengeneza mikataba mibovu,isiyokuwa na tija kwa Taifa,na mikataba mingi ni mibovu inastahili kufanyiwa marekebisho,eti hata hili unaambiwa LETE USHAHIDI
[5].Kuna tatizo la vyama tawala barani Afrika KUIBA KURA KATIKA CHAGUZI KUU,eti hili nalo LETE USHAHIDI.
[6].Maadili ya Taifa yanaporomoka na mustakabali wa Taifa unawekwa rehani,kwa viongozi kushindwa kusimamia kanuni,sheria na taratibu na kutozingatia misingi iliyowekwa na Viongozi waliotangulia,hamna kiongozi anayekubali bali wanajihami na kusema LETE USHAHIDI.
[7].Serikali imeshindwa kuwadhibiti wafanyabiashara wameachwa wanapanga bei wanavyotaka wao,Serikali imeshindwa kudhibiti Mfumuko wa bei(inflation),eti hii nayo Watawala wanajitetea mpaka USHAHIDI,sasa mwananchi gani ataenda kuwapa ushahidi??
[8].EWURA iondoe kipengele cha kupandisha bei kila baada ya wiki mbili,bei zipande mara moja kwa mwaka na hasa wakati wa Bajeti kama BIA,SIGARA na bidhaa nyinginezo ili kulinda mwenendo wa bei katika soko la tanzania.EWURA sijui wame copy and paste kutoka OPEC au soko la dunia???,EWURA na wafanya biashara wa bidhaa hii ndio wanayumbisha soko la petroli ,eti hili nalo watasema LETE USHAHIDI.!!!
[5].Tulisema,na wengi dalili tuliziona miaka 5 inamtosha Mkuu wa Nchi kutawala, miaka 10 asingeweza na mambo yatamshinda,eti wakasema mbona wengine waliweza kwa nini yeye ashindwe,sasa TUNAONA ,eti hii nayo NILETE USHAHIDI.
[6].Wazanzibari wengi hawataki kukubali ukweli,kwamba wengi wao walitokea BARA enzi ZILE za biashara ya mwarabu[kuwasafirisha binadamu kwenda Ulaya na Uarabuni] na soko lilikuwa Zanzibar,na hili linahitaji USHAHIDI MWINGINE?!!
[7].Nchi nyingi za Afrika zinafanani,Ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji;ukiona matukio yanatokea yanafanana na matukio yanayotokea katika nchi za wenzetu,hili sijui tena Serikali itasema kama una ushahidi lete tuufanyie kazi.
Orodha ni ndefu .....
Sasa imekuwa ni suala linalosumbua jamii yetu,tukisema hapa Serikali ifanyie kazi kero mbalimbali utasikia majibu yasiyo na ufumbuzi wa tatizo eti "KAMA UNA USHAHIDI ULETE" tuufanyie kazi.
Ebu niambie neno hili kama siyo la kujihami na kukwepa kuwajibika :
[1].Mpenzi wako unasikia anafanya mapenzi na mtu mwingine na una uhakika,eti anakuambia neno hili NIPE USHAHIDI.[2].Tuna hakika viongozi wanahujumu uchumi unaambiwa eti ,kama una USHAHIDI ULETE tufanyie kazi.
[3].
[4].Kuna maofisa wa serikali wanashirikiana na wawekezaji katika kutengeneza mikataba mibovu,isiyokuwa na tija kwa Taifa,na mikataba mingi ni mibovu inastahili kufanyiwa marekebisho,eti hata hili unaambiwa LETE USHAHIDI
[5].Kuna tatizo la vyama tawala barani Afrika KUIBA KURA KATIKA CHAGUZI KUU,eti hili nalo LETE USHAHIDI.
[6].Maadili ya Taifa yanaporomoka na mustakabali wa Taifa unawekwa rehani,kwa viongozi kushindwa kusimamia kanuni,sheria na taratibu na kutozingatia misingi iliyowekwa na Viongozi waliotangulia,hamna kiongozi anayekubali bali wanajihami na kusema LETE USHAHIDI.
[7].Serikali imeshindwa kuwadhibiti wafanyabiashara wameachwa wanapanga bei wanavyotaka wao,Serikali imeshindwa kudhibiti Mfumuko wa bei(inflation),eti hii nayo Watawala wanajitetea mpaka USHAHIDI,sasa mwananchi gani ataenda kuwapa ushahidi??
[8].EWURA iondoe kipengele cha kupandisha bei kila baada ya wiki mbili,bei zipande mara moja kwa mwaka na hasa wakati wa Bajeti kama BIA,SIGARA na bidhaa nyinginezo ili kulinda mwenendo wa bei katika soko la tanzania.EWURA sijui wame copy and paste kutoka OPEC au soko la dunia???,EWURA na wafanya biashara wa bidhaa hii ndio wanayumbisha soko la petroli ,eti hili nalo watasema LETE USHAHIDI.!!!
[5].Tulisema,na wengi dalili tuliziona miaka 5 inamtosha Mkuu wa Nchi kutawala, miaka 10 asingeweza na mambo yatamshinda,eti wakasema mbona wengine waliweza kwa nini yeye ashindwe,sasa TUNAONA ,eti hii nayo NILETE USHAHIDI.
[6].Wazanzibari wengi hawataki kukubali ukweli,kwamba wengi wao walitokea BARA enzi ZILE za biashara ya mwarabu[kuwasafirisha binadamu kwenda Ulaya na Uarabuni] na soko lilikuwa Zanzibar,na hili linahitaji USHAHIDI MWINGINE?!!
[7].Nchi nyingi za Afrika zinafanani,Ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji;ukiona matukio yanatokea yanafanana na matukio yanayotokea katika nchi za wenzetu,hili sijui tena Serikali itasema kama una ushahidi lete tuufanyie kazi.
Orodha ni ndefu .....