mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 854
- 126
Ndugu zangu wana JF nawaombeni tusingojee serikali yetu imrudishe BALALI.Na inawezekana wasifanye hivyo.
Naomba tuamzishe campaign ya kumrudisha huyu MFISADI bongo ili aweze kutoa nyeti zote alizonazo.
Campaign Suggestions:
Kama mjuavyo waandishi wetu wa magazeti bongo ni wachanga,hivyo basi tuwatumie hawa foreigners journalist.
Kuna huyu dada wa Washington Post stationed in Nairobi anaitwa Stephanie McCrummen na huenda akaja Dar wakati BUSH akija nchini.
Kuna jamaa huyu jamaa Matti Huuhtanen wa Associated Press na nahisi yupo Nairobi.
Nasema hivi kwa sababu scandal ya BOT ni kubwa na haikupata coverage yoyote kwenye first world (wafadhili wa bajeti yetu).
Kama mjuavyo hii scandal ikipata exposure basi bila wasi kutakuwepo na pressure kwenye serikali yetu iwajibike na hawa mafisadi.
Sipendelei external influence katika ku solve matatizo yetu lakini jinsi inavyoonekana serikali yet hii ni ya wasanii na wanabebana mno.
JF pls let us do it..."BRING BALALI HOME"
Naomba tuamzishe campaign ya kumrudisha huyu MFISADI bongo ili aweze kutoa nyeti zote alizonazo.
Campaign Suggestions:
Kama mjuavyo waandishi wetu wa magazeti bongo ni wachanga,hivyo basi tuwatumie hawa foreigners journalist.
Kuna huyu dada wa Washington Post stationed in Nairobi anaitwa Stephanie McCrummen na huenda akaja Dar wakati BUSH akija nchini.
Kuna jamaa huyu jamaa Matti Huuhtanen wa Associated Press na nahisi yupo Nairobi.
Nasema hivi kwa sababu scandal ya BOT ni kubwa na haikupata coverage yoyote kwenye first world (wafadhili wa bajeti yetu).
Kama mjuavyo hii scandal ikipata exposure basi bila wasi kutakuwepo na pressure kwenye serikali yetu iwajibike na hawa mafisadi.
Sipendelei external influence katika ku solve matatizo yetu lakini jinsi inavyoonekana serikali yet hii ni ya wasanii na wanabebana mno.
JF pls let us do it..."BRING BALALI HOME"