private issue kivip? nyie ni mwili mmoja! kwani mkiachana au kutalikiana si unaweza kureset codes?mimi naona kuweka zuio kaika hilo kunaendana na KUTOJIAMINI, KUTOKUWA MWAMINIFU NA UMALAYA.kama amewahi kuwa na mtoto nje kabla ya mahusiano ya sasa unataka akuambie, kama ana tatizo lolotela kiafya wataka awe amekueleza kabla, ila linapokuja suala la mawasiliano na fedha mnataka ukomo.kuhusu ATM codes; mnaficha za nini wakati wengi wenu ni za kupitishia mishahara tu. hamweki akiba. a/c no #nyingi muda mwingi zinasoma 20,000/=. sasa mnaficha nn?Hapana kwa kweli.Hzo ni Private issue hata mume hatakiwi kuzijua,achilia mbali mchumba.