Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,868
- 3,624
Ex atabaki kuwa ex tu na sio maana nyingine yoyote. Kama ni wa maana, asingekuacha au asingekukosea adabu pindi mlipokuwa wote.
Kama Ex hakuwa na mchango wowote wa maana kwako wakati mkiwa pamoja, unafikiri kwa muda huu atakuwa na mchango gani wakati hamko pamoja?
Ndio, inawezekana ni mtu ambaye ulimpenda sana na huenda ndio alikuwa ni mpenzi wako wa kwanza, lakini inatakiwa ukubali tu kwamba, mlishamalizana na kila mtu akashika njia yake.
Njia yetu ya kupata furaha na amani, ni kutambua kwamba furaha yako haitakiwi umkabidhi mwingine kwa niaba yako.
Sio kwa sababu ameona siku hizi umenawili, unapendeza anaanza vitext vya 'Hi' na wewe ukaingia mkenge!
Kuwa na msimamo, na jali zaidi maisha yako, maumivu uliyopata awali yalikuwa yanatosha..
usikaribishe mengine!
Akija pasha kiporo kama ni kitamu kisha tembea mbele kama Mjeshi!! "Usawa wa kati, kwa mwendo wa haraka, mbeleeeeeeeee tembea!!!!"
Ataanza Kukumiss pale atakapokosa mbadala wako.
Ataanza kukumiss pale atakapoona uso wako umejaa tabasamu na muonekano wako ni bomba kuliko awali.
Ulifanikiwa kuchomoka, ukapona! Kuwa makini, usiangukie kwenye mikono yake tena!!
Kama Ex hakuwa na mchango wowote wa maana kwako wakati mkiwa pamoja, unafikiri kwa muda huu atakuwa na mchango gani wakati hamko pamoja?
Ndio, inawezekana ni mtu ambaye ulimpenda sana na huenda ndio alikuwa ni mpenzi wako wa kwanza, lakini inatakiwa ukubali tu kwamba, mlishamalizana na kila mtu akashika njia yake.
Njia yetu ya kupata furaha na amani, ni kutambua kwamba furaha yako haitakiwi umkabidhi mwingine kwa niaba yako.
Sio kwa sababu ameona siku hizi umenawili, unapendeza anaanza vitext vya 'Hi' na wewe ukaingia mkenge!
Kuwa na msimamo, na jali zaidi maisha yako, maumivu uliyopata awali yalikuwa yanatosha..
usikaribishe mengine!
Akija pasha kiporo kama ni kitamu kisha tembea mbele kama Mjeshi!! "Usawa wa kati, kwa mwendo wa haraka, mbeleeeeeeeee tembea!!!!"
Ataanza Kukumiss pale atakapokosa mbadala wako.
Ataanza kukumiss pale atakapoona uso wako umejaa tabasamu na muonekano wako ni bomba kuliko awali.
Ulifanikiwa kuchomoka, ukapona! Kuwa makini, usiangukie kwenye mikono yake tena!!