Leo tukate mzizi wa fitina: Nani mkali kati ya Young D, Young Killer na Dogo Janja?

NANI MKALI?


  • Total voters
    27
  • Poll closed .

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
20,103
26,155
Wakuu leo nataka tumalize ubishi kuhusu hawa vijana machachali wanaosumbua kwenye anga ya muziki kwa kutoa hit songs kila kukicha .

Nataka tumalize ubishi unaondelea kati yao maana kila mmoja kwa wakati wake anatamba kwamba yeye ndio mkali kuliko wenzake waliobakia .

Tumalize ubishi wote kuanzia;

1) Uvaaji wao: Je, unahisi yupi anatupia viwalo vya kijanja zaidi kuliko wengine?

2) Swaga: Yupi mwenye swaga zaidi?

3)Nani kila kukicha anatoa ngoma kali zaidi wengine? Je, ni Young Dar es Salaam A.K.A mzee wa tumezaliwa bongo bahati mbaya au Young Killer A.K.A mzee wa sinaga swaga au Dogo Janja A.K.A mzee wa kidebe?

4) Nani anaongoza kwa kulitawala jukwaa wakiwa kwenye show?

5) Nani anaongoza kwa kipato ikiwemo kulipwa pesa ndefu kwenye show, kumiliki usafiri wa maana n.k.?

6) Nani ana muonekano wa kisuper star zaidi?

Screenshot_2017-05-17-13-19-17_1.jpg
Young Killer Msodoki

Screenshot_2017-05-17-13-19-59_1.jpg
Young Dar es salaam (Paka rapper/paka rasta)

Screenshot_2017-05-17-13-20-15_1.jpg
Dogo janja (Janjaroo)

PhotoGrid_1_20170517_13_27_53.png


Karibuni mtiririke..
 
hawa madogo wote wako vzuri lakin wakat unaweza bishana kuhusu nani ni wa kwanza kati ya Young D na Young Kila, Dogo Janja ni lazima awe wa mwisho hapo.

Young kila nampa heko ya utungaji wa mashairi mazuri kuwazidi wote. maswaka ya vina na urari wa mistari anayaweza.

Young D, nyimbo zenye swaga anaziweza, huwa naskilizaga nyimbo zake kwa stail yake huwa sizichoki. mfano kijukuu, Boma la utete, dada anaolewa etc.

Dogo Janja, huyu ni mjanja mjanja tu hivo hivo, ila ki muziki hawawezi hao jamaa wawili hapo juu. japo si mbaya pia

Maswala ya kuvaa sjui, hayo mi siyawezi, au nani anapiga show kali hayo nayo siwezi, nani anaishi ki super star of coz dogo janja na Young Kila wanajielewa kuliko Young D sjui huwa anakula maharage ya wap Young D anaishi hovyo hovyo sana.
 
Young Killer Ana kipaji kikubwa sana cha kuandika amini nakwambia hata Fid Q hakuwa muhandishi mzuri wa kiwango cha Young Killer alipokuwa na Umri kama wa Young Killer.

Young D Ana flow moja nzuri sana....sio mzuri sana kwenye kuandika ila ukisikiliza nyimbo zake azichoshi kwa sababu kila wimbo wake unakuja na style/flow tofauti na iliyopita.


Dogo Janja ni msanii wa kawaida tu....Ile kuwa yupo Tip Top ndio inambeba akisimamiwa na watu kama Tale na Madee lazima usikike na ufike mbali....Kama Young D na Young Killer wangepata usimamizi mzuri kama anaopata Dogo Janja wangekuwa mbali zaidi ya Halipo Dogo Janja.


Nimezungumzia muziki hayo mambo ya kuvaa na show zao zilivyo watazungumzia wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom