Mkuu za kuamka, leo tunategemea nondo mpya toka kwako.Mazingira salama? Ooh no way... Not in this life
Ww acha mambo ya ajabu.waamshe mkuu dunia inakwenda kasi sana hii........wakati watoto wa kizungu kwa teknolojia wako mbali sana je watoto wa huku africa wako wapi.......
Najiamini sana ndio maana nikatoa maoni yanguJiamini na kuyajenga maisha salama kuanzia ngazi ya familia na hatimaye taifa zima kwa ujumla.....vijana wanatakiwa kujituma
asante kaka, ngoja niende ibadani kwanza nikaungane na waamini wengine kumsifu na kumwabudu MUNGU mkuu..Mkuu za kuamka, leo tunategemea nondo mpya toka kwako.
Mkuu kila wakati uko Active, hivi una mda wa kulala kweli ?