cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,373
- 2,385
Asikuchoshe mkuu huyu ni mlugha lugha tu wale baharia wa vijiwe vya kahawa alipo niacha hoi ni alipotumiwa passport kwa email na kwenda kupanda ndege kama daladala.Mkuu seaman book ni certified document ambayo iko signed and stamped kama passport, CV ni piece of paper tu ambayo unajiandikia na inaweza ukawa umedanganya tu mpaka followup ifanyike kuthibitisha ulichoandika.. In onboard job hasa za Cargo, tankers, Roro, Chemicals long safari's ,process yake ya recruiting sidhani kama inaweza kuwa rahisi hivyo..otherwise itakuwa ni hizo shunters na kuna mahala umetaja Saudi-Aramko labda ni hizo supply boat za kwenye rigs na meli za uchimbaji.. Hiring process haiwezi kuwa rahisi hivyo tena you are not proffessional unaenda kuwa oiler bado napata shida kuamini..
Mkuu nimefupisha Mambo mengi Sana hapo hyo process ilinichukua Zaid ya mwezi mmoja, kwaiyo ulitaka nielezee hadi siku ya interview niliulizwa nn? Kuna Mambo sijayaweka coz najua kwa wasomaji ambao sio mabaharia hayana faida Kwao ndo Mana Kuna baadhi ya Mambo nimeyaruka ila haikua kirahisi ivoyaani umetuma tu CV, ukapigiwa simu tena lugha hukuielewa ukawa unaitikia tu yah yah yah, kwenda kwenye email mkataba na tiketi ya ndege hapo hapo tena ukaenda kuwa oiler dah hiyo kampuni kiboko imesajili kweli na IMO..
Duu mbona wewe inaonekana unajua kuliko mwenye Uzi wake. Uteke huu Uzi na uanze kujibu wewe maswali.hahhhahahaha, watu wamesoma CV tu wamekupa kazi haya tueleze huo mtemba wa kwanza ulikuwa KW ngapi propelling force, Generators KVA ngapi na Engine type and model..
Ulipataje kazi ya meli ukiwa 3yrs experience bila kuulizwa signed sea book. Maana wakati mwingine melini CV haifanyi kazi ila seaman book ndio inaonyesha experience.. Hiyo hiring process hata pale Greece kwa wasoteaji au dubai haipo dah ulikuwa na bahati kama ni kweli tena Engine room and I hope hukuwa oiler..
Mkuu ulitaka nielezee Kila kitu? Yan nianze day one mpaka siku nashuka on board?Asikuchoshe mkuu huyu ni mlugha lugha tu wale baharia wa vijiwe vya kahawa alipo niacha hoi ni alipotumiwa passport kwa email na kwenda kupanda ndege kama daladala.
Mtu ukimkuta kwenye home fever unaweza ukamsalimia tu na mkagombana but hyo ni Hali ya kawaida kea mabaharia
Asilimia kubwa ya mabaharia kutoka Africa na Asia mostly Filipinos seaman books zao ni za kimagumashi lakini wanapata kazi hata kwenye shipping companies kubwa duniani, kama alivyosema mleta mada wengi hupatia experience huko huko melini.Meli ni kama kiwanda,nina hakika kuingia melini ni lazima uwe umepitia darasani,hiyo kampuni iliyokuajir nayo ni magumashi bana,kampuni za uhakika haziajiri baharia mwenye CV feki,kwa ajili usalama unapokua kazini,kwaiyo CV zote nilazima zipitie kwenye cestem ya ukaguzi,ili kupata mtu sahih anaejua majukumu yke ya kazi na sheria zote za meli.
Mkuu njia ni mbili tu kusoma long course au short courseTartibu zikoje za kupata hiyo coz mkuu.
Chuo gani ulisoma?
Na niwe na vigezo vipi?
Mkuu njia ni mbili tu kusoma long course au short course
Ila all in all lazma uwe na mandatory course ambazo utapata vyet vinne hvyo ndo vinavyotambulika na imo Sasa baada ya hapo ndo Kuna Yale mahitaji ya campun kwa MFANO unataka kwenda meli ya mafuta happy lazima uwe na cheti Cha tanker. So basic ni hzo mandatory course hayo mavyet mengine inategemea na uhitaji was campun kulingana na meli walizonazo
Ukisoma long course kwa watu wa engine Mara nying unaishia kwenye vyet 10 ila kwa deck naskia wanapewa had vyet 14 au 15 Kama sijakosea
Short course huwa inachukua wk Moja but we tenga mwez mzma kulingana na ratiba ya chuo
Ila kwa long course diploma no miaka 3 na degree na miaka 4
Hawa jamaa mi nimewashangaa Sana wanavonibana kuhusu experience Yan ndomaana napata mashaka Sana inawezekana ni mabaharia uchwara.....et mtu anahoji mihuri kwenye seaman book.. these guy are not serious naomba niishie hapoAsilimia kubwa ya mabaharia kutoka Africa na Asia mostly Filipinos seaman books zao ni za kimagumashi lakini wanapata kazi hata kwenye shipping companies kubwa duniani, kama alivyosema mleta mada wengi hupatia experience huko huko melini.
Michael G?Ugali?Nmesoma dmi na nikilitaja jina langu hapa kwa wale walosoma 2014 watakua wananijua coz nishawah kuwa kiongoz matata Sana hapo hata walimu nikienda wanalikumbuka jina langu had leo
Kuhusu suala la field mkuu hyo experience ya field ukisema uitumie kuombea Kaz utasumbuka Sana coz meli nying za bongo Zina horse power ndogo.... All in all mi field zangu zote had namaliza chuo nilifanyia bandari na nilishauriwa nisitumie mihuri ya bandari so ikabidi nijilipue upande wa pili coz unafanya field miez 3 ukijumlisha mpaka unamaliza chuo unapata miez 6....kwa akili ya kawaida tu Nani atakuajili kwa miez sita yako? Jibu kaa nalo mwenyewe
sawa mwana DMITeh teh teh nilisoma na hyo pipo inaitwa ugali nw yupo anamiliki mgodi huko.....but sijui Kama umemaanisha ugali jina la mtu ila Kama ni mtu bas namfaham vzr naye ananifaham