Leo nimesikia aibu sana

Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Quite = quit, Engilish = English
 
Nchi za watu wanaojielewa kama hujui lugha yao hupati huduma hata uongee lugha ya malaika.
 
If you can't answer in Engilish just quite? 😂😂😂😂 Ndio maana wakenya na wanaijeria wanatudharau 😂
Halafu anakwambia ofisini kwake ni mwendo wa kiingereza just "quite" na anaamini anajua kiingereza.
 
Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Kama Kiingereza chako unachokitolea macho huko ofisini nd'o hiki ni "broken" sana mkuu.
 
If you can't answer in Engilish just quite? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio maana wakenya na wanaijeria wanatudharau [emoji23]
Hicho nd'o Kiingereza anachowasumbulia huko aliko mkuu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ya
Yani me ningekwambia we em tutolee kiingereza chako cha Msasani Primary.
Alf tuone.
 
I can't get over the way you behaved in front of that lady at the supermarket. It was so embarrassing.
"Excuse me, who do you think you are??"[emoji16]
 
Sasa kakosea wapi, unajua wengi mlio soma enzi za Nyerere mnaona kuongea kiswahili ni lazima hata kama hutaki.......njoo ofisini kwangu if you can't answer in Engilish just quite, wakati mimi ni msahili kabisa. Kila lugha inawakati wake.
Kimombo ka kimombo Faamasiala ww🤣🤣🤣
 
Who I am doesn't
"Excuse me, who do you think you are??"[emoji16]
Who I am doesn't matter. What matters is what I can do to you. I can make you defecate your intestines. Watch out!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…