Leo nimepewa sifa mpaka nikajiona ni mimi tu

Leo nimepewa sifa mpaka nikajiona ni mimi tu

J putin

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
1,263
Reaction score
1,208
Wakuu,najua mko poa kabisa

Leo hii asubuhi nimepita kwenye mgahawa moja hapo kariakoo,nikasema ngoja nitafute supu nipige alafu niendelee na mambo mengine,

Nikawa naingia ndani ya mgahawa,nikakutanisha macho 2 macho na dada moja hivi mkali,yaani ni mkali ,nilivomtazama tu nikashangaa tu nimetoa tabasamu matata,dada wa watu naye akaunganisha bonge la tabasamu ,nadhani hii tabasamu lake ni la kufungia mwaka,

Sasa nikashangaa baada ya pale nikajua labda ananifahamu ,acha nupewe sifa na yule dada,hakika zile sifa sijawahi kupewa na dada yoyote toka nimezaliwa jamani,

Mwanaume nikabaki najiona mwanaume mbele ya wanaume wenzangu waliokuwa mle ndani,

Kwa hiyo ndo hivyo tu,

Niwatakie maandalizi mema ya mwaka mpya,

J Putin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapewa sifa unajikuta wewe ndo wewe kumbe mumewe yupo pembeni,anakukuta anakupiga ngumi ya shingo unakufa
2b68ae27ab25105c8c665577864c4a0e.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kukuona tu kakusifia na we umelainikaaa??
una vinasaba vya kike.
mwanaume hasifiwi sura
 
Back
Top Bottom